Habari,
M Gas ni kampuni inayojishughulisha na kuuza gesi ya kupikia majumbani. Kupitia M Gas mteja anapata unafuu wa kununua gesi kidogo kidogo iliyopo ndani ya mtungi kuanzia Sh 1000 na kuendelea kwa mfumo unaofanana na LUKU etc.
Mteja anaetaka kujisajili na M Gas (kwa bei iliyopo sasa hivi mpaka andiko hili lipo hewani) ataoa kiasi cha Sh 40,000 na atapatiwa mtungi na jiko la sahani mbili pamoja na salio la gesi kwenye kadi yake la Sh 5,000. Au atatoa Sh 20,000 kama tayari ana jiko lake na atapewa mtungi na salio la Sh 15,000. Huduma hii ni kwa wakazi wa Dar es Salaam pekee na usafiri ni bure.
Kama unahitaji huduma zetu tupigie 0713748763.
Kama unahitaji fursa ya kazi ya mauzo tupigie 0683977897.
M Gas ni kampuni inayojishughulisha na kuuza gesi ya kupikia majumbani. Kupitia M Gas mteja anapata unafuu wa kununua gesi kidogo kidogo iliyopo ndani ya mtungi kuanzia Sh 1000 na kuendelea kwa mfumo unaofanana na LUKU etc.
Mteja anaetaka kujisajili na M Gas (kwa bei iliyopo sasa hivi mpaka andiko hili lipo hewani) ataoa kiasi cha Sh 40,000 na atapatiwa mtungi na jiko la sahani mbili pamoja na salio la gesi kwenye kadi yake la Sh 5,000. Au atatoa Sh 20,000 kama tayari ana jiko lake na atapewa mtungi na salio la Sh 15,000. Huduma hii ni kwa wakazi wa Dar es Salaam pekee na usafiri ni bure.
Kama unahitaji huduma zetu tupigie 0713748763.
Kama unahitaji fursa ya kazi ya mauzo tupigie 0683977897.