Buseresere
Member
- Feb 17, 2011
- 45
- 21
Habari Tanzania,
Natumia muda huu kuongea machache hapa na ninyi wapambanaji wenzangu.
Kuna kampuni mpya inayojishughulisha na shughuli za uzalishaji wa bidhaa mbali mbali za vyakula, na kwa kipindikifupi sokoni lakini imefanikiwa kukuza brand yake katika masoko mbali mbali ndani na nje ya nchi.
ili kuendelea kupanua wigo wa biashara kampuni imeamua kuongeza uzalishaji.
kwa sasa kampuni inahitaji vijana watano (5) kwaajili ya kufanya mauzo ya bidhaa katika maeneo tofauti tofauti
Sifa:
1. Awe ni kijana mwaminifu na wmenye kujituma, mwenye uwezo wa kufanya kazi pasipo kusimamiwa.
2. Awe na uzoefu katika masuala ya mauzo (Sales)
3. Awe na uwezo wa kusoma, kuandika na kuongea kiswahili na kingereza
4. Awe mkazi wa Dar es salaam
5. Elimu: kidato cha nne na kuendelea
Maombi yatumwe kwenda:
Paulbuberwa@gmail.com
Natumia muda huu kuongea machache hapa na ninyi wapambanaji wenzangu.
Kuna kampuni mpya inayojishughulisha na shughuli za uzalishaji wa bidhaa mbali mbali za vyakula, na kwa kipindikifupi sokoni lakini imefanikiwa kukuza brand yake katika masoko mbali mbali ndani na nje ya nchi.
ili kuendelea kupanua wigo wa biashara kampuni imeamua kuongeza uzalishaji.
kwa sasa kampuni inahitaji vijana watano (5) kwaajili ya kufanya mauzo ya bidhaa katika maeneo tofauti tofauti
Sifa:
1. Awe ni kijana mwaminifu na wmenye kujituma, mwenye uwezo wa kufanya kazi pasipo kusimamiwa.
2. Awe na uzoefu katika masuala ya mauzo (Sales)
3. Awe na uwezo wa kusoma, kuandika na kuongea kiswahili na kingereza
4. Awe mkazi wa Dar es salaam
5. Elimu: kidato cha nne na kuendelea
Maombi yatumwe kwenda:
Paulbuberwa@gmail.com