Wanasiasa wanaweza vipi kuendesha wanajeshi? Swali makini

Wanasiasa wanawaendesha wanajeshi kwenye nchi ambayo wanajeshi wake bado hawajajitambua kama hapa tz.kwa nchi ambazo wanajeshi wao wanajua haki, hakuna upuuzi wa wanasiasa kuwapelekesha.mfano mzuri ni niger. Wanajeshi wa Niger walikataa kupelekeshwa na yule mwanasiasa kibaraka wa wawekezaji uchwara wa bandari na uranium (Mohammed bazoum).
Kwa hiyo tatizo ni kujitambua tu ?
 
Back
Top Bottom