johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,957
- 141,946
Moja kwa moja kwenye pointi ni kwamba kama kuna wanasiasa waliosingiziwa sana kwa habari za uongo nchi hii basi ni Kawawa rip wakati wa chama kimoja na mzee Lowassa na Ridhiwani Kikwete wakati wa vyama vingi.
Na wanasiasa wanaoongoza kwa kuwasingizia wenzao habari za uzushi ni Dr Slaa na Tundu Lisu na hasa baada ya kusimama pale Mwembeyanga na kuwashushia tuhuma za kutunga tu wanasiasa zaidi ya 10.
Sikushangaa pale Rais mstaafu Kikwete aliposema Chadema ni kiwanda cha uwongo.
Maendeleo hayana vyama!
Na wanasiasa wanaoongoza kwa kuwasingizia wenzao habari za uzushi ni Dr Slaa na Tundu Lisu na hasa baada ya kusimama pale Mwembeyanga na kuwashushia tuhuma za kutunga tu wanasiasa zaidi ya 10.
Sikushangaa pale Rais mstaafu Kikwete aliposema Chadema ni kiwanda cha uwongo.
Maendeleo hayana vyama!