Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,056
- 18,404
Kwamba stendi ya morogoro ni Yake!Huyu alisingiziwa nini
Kwamba stendi ya morogoro ni Yake!Huyu alisingiziwa nini
Cha ajabu Lowassa na Tundu wote wamegombea urais kupitia chadema. Hii saccos ina maajabu ya karne.Lowassa alisafishwa na mwanasheria mkuu wa Chadema mh Tundu Lisu mnamo mwaka 2015 pale viwanja vya jangwani.
Tundu Lisu ndiye aliyeandaa ile orodha ya mafisadi iliyosomwa na Dr Slaa pale Mwembe Yanga!
Anamiliki kila kituRiziwani alikuwa na majengo ,mahotel ,kampuni za.mafuta ,mabasi daaah yote hayo alipewa na wanachi enzj za babake akiwa rais
Ila wakati babake anastaafu tu wakampokonya Kila kitu wanamuachia ubunge
Wewe na Tundu je?Dr Slaa huwezi kumweka kundi moja na tundu by all means. Slaa is a man of integrity huweza kumlinganisha na huyo chokolaa tundu.
Mpaka kizazi chako chote mtakuwa majinga ya LumumbaNa mimi Proffessor Emeritus YEHODAYA kwa mamlaka ninayojipa mwenyewe namtunuku PhD ya uongo Uzushi na Matusi Tundu Lisu
Sasa ivi yuko CCM japo alijinyeaLowassa alisafishwa na mwanasheria mkuu wa Chadema mh Tundu Lisu mnamo mwaka 2015 pale viwanja vya jangwani.
Tundu Lisu ndiye aliyeandaa ile orodha ya mafisadi iliyosomwa na Dr Slaa pale Mwembe Yanga!
.Moja kwa moja kwenye pointi ni kwamba kama kuna wanasiasa waliosingiziwa sana kwa habari za uongo nchi hii basi ni Kawawa rip wakati wa chama kimoja na mzee Lowassa na Ridhiwani Kikwete wakati wa vyama vingi.
Na wanasiasa wanaoongoza kwa kuwasingizia wenzao habari za uzushi ni Dr Slaa na Tundu Lisu na hasa baada ya kusimama pale Mwembeyanga na kuwashushia tuhuma za kutunga tu wanasiasa zaidi ya 10.
Sikushangaa pale Rais mstaafu Kikwete aliposema Chadema ni kiwanda cha uwongo.
Maendeleo hayana vyama!
Na mimi Proffessor Emeritus YEHODAYA kwa mamlaka ninayojipa mwenyewe namtunuku PhD ya uongo Uzushi na Matusi Tundu Lisu
Tundu Lissu alishamsafisha Mzee Lowassa na Msigwa alishamsafisha Mzee Kinana.Moja ya thread za kijinga sana kupata kujadiliwa JF.
Ukisingiziwa unakuwa umevunjiwa hadhi yako (defamation) na kwa sheria za nchi unayo nafasi kufungua shauri mahakamani ili aliyekusingizia awajibishwe na kukufidia.
Kwa nini walio singiziwa hawakwenda mahakamani hadi mtoto wao johnthebaptist aje awasafishe JF?
Mwizi ukimwita mwizi na kusema kaiba ng'ombe 10 wakati aliiba 4 hawezi shtaki kwani ukiambiwa udhibitishe utaishia ng'ombe wanne na hilo halimuondelei kosa la wizi wala wewe uliyetaja 10 halikuhukumu kwani bado yule ni mwizi ila ulikosea kiwango cha wizi wake!
2025 ni mbali sana, mtuache tupumue. Afterall riz hafai kuwa rais sawa na imitation yakeMoja kwa moja kwenye pointi ni kwamba kama kuna wanasiasa waliosingiziwa sana kwa habari za uongo nchi hii basi ni Kawawa rip wakati wa chama kimoja na mzee Lowassa na Ridhiwani Kikwete wakati wa vyama vingi
List of shame🤓🤓🤓🤓Lowassa alisafishwa na mwanasheria mkuu wa Chadema mh Tundu Lisu mnamo mwaka 2015 pale viwanja vya jangwani.
Tundu Lisu ndiye aliyeandaa ile orodha ya mafisadi iliyosomwa na Dr Slaa pale Mwembe Yanga!
Miaka ya Mwinyi kila kitu alisingiziwa Mama Sitti Mwinyi na Cleopa Msuya hadi Yale ma Gari aina ya DCM tukadanganywa maana yake David Cleopa MsuyaMejengo yote mazuri DSM na Mikoani(MJINI) yalikuwa ya Riz1 na Lowassa.
Yeye ni mshogeshaji mimi ni str8, ni kama mashariki na magharibi!Wewe na Tundu je?
Hahahaha DYNA CLIPPER MACHINE.Miaka ya Mwinyi kila kitu alisingiziwa Mama Sitti Mwinyi na Cleopa Msuya hadi Yale ma Gari aina ya DCM tukadanganywa maana yake David Cleopa Msuya
Kambona ha ha × 2Hujamkuta Kambona na Nyerere wewe...
Yani Kambona aliimbiwa hadi nyimbo za chekechea...
Idd Amin na Nyerere.. hadi leo kuna watu hawamjui Amin lakini wanamchukia..
Siasa za uongo na propaganda ni za dunia nzima toka vizazi
Tundu Lisu muongo wa kiwango cha SGRNa mimi Proffessor Emeritus YEHODAYA kwa mamlaka ninayojipa mwenyewe namtunuku PhD ya uongo Uzushi na Matusi Tundu Lisu
Huyo ndo mwanaadamu akishapenda au kukichukia kitu hashindwi cha kufanya Umewahi kujiuliza kwann kifo cha mende kiwe maarufu kuliko mende mwenyewe akiwa hai ? Wajuzi wa mambo hebu tujadilini kwa Maarifa sio hisiaMiaka ya Mwinyi kila kitu alisingiziwa Mama Sitti Mwinyi na Cleopa Msuya hadi Yale ma Gari aina ya DCM tukadanganywa maana yake David Cleopa Msuya
umesahau baba lao mchungaji Msigwa,mpaka lilikiri hadharani kwamba ni liongo la kutupwaNa wanasiasa wanaoongoza kwa kuwasingizia wenzao habari za uzushi ni Dr Slaa na Tundu Lisu na hasa baada ya kusimama pale Mwembeyanga na kuwashushia tuhuma za kutunga tu wanasiasa zaidi ya 10.