Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,503
ha ha bado unapotea mkuu,Ahaa....swali zuri sana
Michael/Mikael ni malaika wa Vita
Kwahiyo yeye ndiye malaika anayepambana vita na shetani/Ibilisi
Yesu yeye akimshinda shetani kwa njia ya neno.
Karibu tuendelee
so kwanini mikael apewe kazi ya vita wakati yesu kama unavyoamini ni mungu anaweza kupambana na ibilisi kwa kwa neno?.
Hujapata kusoma yesu akiitwa simba wa yuda,simba wa vita,bwana wa majeshi etc,
na kuwa atatawala kwa upanga ?
Upanga au fimbo ,unaweza rekebisha