Wanashikiliwa kwa kumkashfu mtume

Wanashikiliwa kwa kumkashfu mtume

Mahakama ilitoa hukumu kuwa kusema Yesu ni Mungu au Si Mungu si Kosa ni sehemu ya Freedom of expression, acha uvivu soma hukumu ipo kwny Google nimeshakutajia ni Criminal appeal no. 53 ya 2001
Utakuwa wewe ni kilaza wa hatari, pamoja na kukariri case namba naona hukuelewa walichokisema. Ngoja nikusaidie kutafsiri kwa kiswahili.
 
Utakuwa wewe ni kilaza wa hatari, pamoja na kukariri case namba naona hukuelewa walichokisema. Ngoja nikusaidie kutafsiri kwa kiswahili.

Ukilaza ni relative term,ukiwauliza Wagonjwa wa Milembe pale kwao Nani ni Kilaza watakwmbia ni wale Madaktari wanaowatibu.

Ukiona unajadiliana na Mtu kwa hoja Mara akaanza kuingiza Kashfa na Matusi achana nae endeleza mjadala na wasio tukana!
 
Nimeisikia hiyo taarifa ss sijajua kama serekali ina aheria zinazojihusisha na maswala ya kidini
na bora polisi imshikilie asimuachie coz ikimuachia anaweza pata majanga. Kwa sehemu ZNZ kushikiliwa kwake ni salama yake
 
Yesu ni habari nyingine, mtume alikuwa binadamu Kama wewe wakati Yesu hakuwa binadamu wa kawaida.
na kabla yake kuzaliwa nani alikuwa anaiongoza dunia? Walie mzaa mama yake yesu ni nani?

Yesu atabaki kuwa Nabii/Mtume.

Mungu ni Mungu hakuzaa na wala hakuzaliwa...yeye ndie aloumba dunia na sisi sote. Ndio maana hata Yeye Yesu alizaliwa akamkuta mama yake Maria/Mariam ambaye Mungu alimpa uwezo Mariam kupata Ujauzito bila kuwa na mwanaume.

Hivyo Yesu/ Issa alizaliwa kama mimi na wewe, ila tofauti ni kuwa yeye alizaliwa akiwa na kipaji na miujiza, na Mungu alimpa uwezo wa kuwa anawasiliana nae ili kutulietea sisi binadamu ujumbe. .........Na Yesu sie Mtume wa kwanza kuzaliwa, yeye ni kati ya mitume wengine. Wapo Mitume wengine waliomtangulia na yupo alieendelea...Wote ni Mitume wa Mungu na waliagizwa kutuletea ujumbe sisi wanadamu/ kutupa mafunzo
 
MUNGU wetu sisi anajipigania mwenyewe na ndio maana alisema kisasi ni juu yake Mwenyewe.Kwahiyo hata leo mtu awaye Yeyote aseme vibaya atakavyo juu ya Yesu ,mtu aliyeamini hawezi kubishana au kugombana na mtu huyo sababu maandiko matakatifu yamekwisha kutueleza cha kufanya.
 
Sijawai kuona sehem yesu anakashifiwa wala mtume anakashifiwa na kama imethibitika wamefanya ivyo basi wachukuliwe hatua...ila tu najaribu kuwaza ingekua waislam ndiyo wamekamatwa kwa kumkashifu yesu, sijui ndugu zetu wa kiislam wangeichukulia vipi?
taratibu unaanza kutoka nje mada halafu na wewe tukuite great thinker kweli
 
Angaluizo kwa kadhia ya zanzibar aliyekashifu ,hapana kukashifu si nenonsahihi bali aliyekufuru ni mzanzibari asili ,tena muislam na aliyekariri vyema dini ila hakika hajaifahamu hata kidogo!
Mkuu ww unaweza kudhan kaikariri dini vema kumbe sio kweli no muislam jina tu cha muhimu hakupaswa kukufuru iman ya wenzake hata kama hakubalian nayo.kwan alilazimishwa kuwa muislam? After raw tz kila mtu anahaki ya kuabudu popote apendapo ila sio kukashifu, kukufuru ama kuharibu kwa makusudi vitumiwavyo na waamin wa iman fulan kwa mfan Kuran ama biblia
 
Kumbe ndiyo maana mkiwa atheists huwa mnasema kama mungu ana uwezo wote kwanini kaumba dunia ina maovu.
Mkuu swala la Dunia kuwa na uovu ni maamuzi ya mwanadamu mwenyewe sababu Mungu alitupa utaratibu wa namna ya kuishi lakini sisi tumeikataa sheria yake na kumbuka kuwa Mungu ni wa haki.
 
Back
Top Bottom