structuralist
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,230
- 910
Waisilam hawadhihaki dini zingine lakini angalia tu hata kwenye mjadala huu dhihaka kubwa imetoka wapi, halafu ndio wakwanza kujiona ni waelewa. Watu humu wametumia maneno ya kejeli dhidi ya uisilam lakini hakuan muisilam alotumia neno la kejeli dhidi ya dini nyingine. Kuna kutofautiana kiimani, nikiamini katika Mungu mmoja na mwingine akiamini katika mungu utatu(kama haipo hivyo naruhusu kurekebishwa) hakuna ubaya wa mimi kuambia mwenzangu anakoelekea sio sahihi.
Ukweli ni kuwa huwezi kuwa mwisilam kama huamini ujio wa nabii Issa(Masiah) pamoja na miujiza aloitenda kwa uwezo alopewa na Mungu. Pamoja na mambo mengine ndiyo maana huwezi ona muisilam anamdhihaki mtu wa dini nyingine kwa ajili ya Issa ambaye naye anamuamini. Hata hivyo pale ambapo wapo wengine wanampa daraja la uungu hapo ndipo tunapowapa nasaha kuwa hiyo si sawa. Mijadala ya kuelimishana juu ya imani zetu haswa kuwaambia ndugu zetu wengine kuwa Issa/Yesu si Mungu sio kukashifiana huko bali nikupena waadhi tu. Sasa hapo ndipo baadhi yenu mnadhani waisilamu wanakashifu dini zingine lakini ukifuatilia sio kweli ni wanawaelimisha wengine tu kuwa Mungu ni mmoja, hakuzaa wala hakuzaliwa na hakuna chenye kufanana naye(hata ile ya kusema binadamu wameumbwa kwa mfano wa Mungu sio sawa)
Wengine kwa hoja nyepesi wanasema huyo wao allah ila wenu ni mungu, hii inaonesha tu uwazaji mdogo. Hivi unajua mkristo aliyepo uarabuni, palestina, iraq, syria nk Mungu kwake anamuita nani? Au tunadhani nine Mungu linatumika kila mahali kama ilivyo Allah?
Kuhusu mtuhumiwa, sijabahatika kuona video ya matusi ila niliona video akiwa chini ya ulinzi na video alotumia kuomba msamaha. Kwa maneno yake mwenyewe amaomba radhi na akasema hakufanya jambo la kiungwana na kukiri kuwa yupo radhi sheria ichukue mkondo wake tena mara moja. Sasa kama yeye mwenyewe kaona amekosea, inakuaje wengine humu wanaona kama vile anaonewa, au kama vile dini fulani tu ndiyo inaonekana kupendelewa ili hali mtuhumiwa kajisalimisha polisi (kwa wengine wnavosema) na kuomba sheria ichukue mkondo wake?
Ndugu zangu wakristo, ni ukweli usio pingika kuwa baadhi yenu wanauchukia sana Uisilam tena bila sababu zozote na ndio maana hata kwenye hoja kama hizi chuki zao hazifichi. Tujiulize tu ni lini tumeskia waisilam wakiwachora viongozi wa kikristo kwenye vikaragosi au wakiwatukana na kuwadhalilisha? Je huo ustaarabu mnaohubiri ni upi hasa wakati hata ukifuatilia kwenye siasa chuki na malalamiko yenu vipo dhahiri shahiri?
Ni haki na wajibu wangu kukuelezeni juu ya Mungu mmoja ila ni hiyari yenu kufuata njia ya kheri ama kuchagua upotefu. Kwahakia mkibaki hivyo hamtaabudu tunachokiabudu na sisi hatutoabudu mnachokiabaudu kwani ninyi mna dini yenu nasi tuna dini yetu.
Mwenyezi Mungu awaongoze kuitambua haki na awawezeshe kuifuata, na awafahishe batwili na awawezeshe kuiepuka na sote atupe mwisho mwema In Sha Allah, Amin.
Ukweli ni kuwa huwezi kuwa mwisilam kama huamini ujio wa nabii Issa(Masiah) pamoja na miujiza aloitenda kwa uwezo alopewa na Mungu. Pamoja na mambo mengine ndiyo maana huwezi ona muisilam anamdhihaki mtu wa dini nyingine kwa ajili ya Issa ambaye naye anamuamini. Hata hivyo pale ambapo wapo wengine wanampa daraja la uungu hapo ndipo tunapowapa nasaha kuwa hiyo si sawa. Mijadala ya kuelimishana juu ya imani zetu haswa kuwaambia ndugu zetu wengine kuwa Issa/Yesu si Mungu sio kukashifiana huko bali nikupena waadhi tu. Sasa hapo ndipo baadhi yenu mnadhani waisilamu wanakashifu dini zingine lakini ukifuatilia sio kweli ni wanawaelimisha wengine tu kuwa Mungu ni mmoja, hakuzaa wala hakuzaliwa na hakuna chenye kufanana naye(hata ile ya kusema binadamu wameumbwa kwa mfano wa Mungu sio sawa)
Wengine kwa hoja nyepesi wanasema huyo wao allah ila wenu ni mungu, hii inaonesha tu uwazaji mdogo. Hivi unajua mkristo aliyepo uarabuni, palestina, iraq, syria nk Mungu kwake anamuita nani? Au tunadhani nine Mungu linatumika kila mahali kama ilivyo Allah?
Kuhusu mtuhumiwa, sijabahatika kuona video ya matusi ila niliona video akiwa chini ya ulinzi na video alotumia kuomba msamaha. Kwa maneno yake mwenyewe amaomba radhi na akasema hakufanya jambo la kiungwana na kukiri kuwa yupo radhi sheria ichukue mkondo wake tena mara moja. Sasa kama yeye mwenyewe kaona amekosea, inakuaje wengine humu wanaona kama vile anaonewa, au kama vile dini fulani tu ndiyo inaonekana kupendelewa ili hali mtuhumiwa kajisalimisha polisi (kwa wengine wnavosema) na kuomba sheria ichukue mkondo wake?
Ndugu zangu wakristo, ni ukweli usio pingika kuwa baadhi yenu wanauchukia sana Uisilam tena bila sababu zozote na ndio maana hata kwenye hoja kama hizi chuki zao hazifichi. Tujiulize tu ni lini tumeskia waisilam wakiwachora viongozi wa kikristo kwenye vikaragosi au wakiwatukana na kuwadhalilisha? Je huo ustaarabu mnaohubiri ni upi hasa wakati hata ukifuatilia kwenye siasa chuki na malalamiko yenu vipo dhahiri shahiri?
Ni haki na wajibu wangu kukuelezeni juu ya Mungu mmoja ila ni hiyari yenu kufuata njia ya kheri ama kuchagua upotefu. Kwahakia mkibaki hivyo hamtaabudu tunachokiabudu na sisi hatutoabudu mnachokiabaudu kwani ninyi mna dini yenu nasi tuna dini yetu.
Mwenyezi Mungu awaongoze kuitambua haki na awawezeshe kuifuata, na awafahishe batwili na awawezeshe kuiepuka na sote atupe mwisho mwema In Sha Allah, Amin.