Pohamba uwe unazungumza mambo unayoyajua vizuri, kama hujui uliza utaelezwa. Sababu ya kuachiwa na mahakama ya rufaa siyo hiyo uliotaja.
Pitia Hukumu ya Rufani ya Jaji Samatta ya 2001 uje useme hukumu ilisemaje? Tangu hapo Masuala ya kukamata watu kwa kuwa tu hawaamini Uungu wa Yesu yalikoma
Mtu alifungwa kwa kusema Yesu si Mungu akakata Rufaa akashinda halafu unasema Alishinda Rufaa yake lakin sio ya kuhusu Kesi aliyofungiwa!
Issue ya Dibagula naifahamu Mwanzo Mwisho na Mie nilikuwa mmoja wa walioratibu Maandamano kuanzia Kidongo chekundu kwnenda Mahakama ya Rufaa mpaka Serikal ya Mkapa ikaingiwa na Hofu na ikaamuru Siku hiyo hiyo Dibagula Aachiwe huru kabla ya Rufaa yake kusikilizwa na iliposikilizwa akashinda na kwa kuwa hukumu za Ka Justice huwa ni Sheria ikawa si Kosa kuamini Yesu si Mungu