Wanashikiliwa kwa kumkashfu mtume

Wanashikiliwa kwa kumkashfu mtume

Majaji waliohusika walipotoshwa na kawaida ya Wailslam kulazimisha Isa kuwa ndiye Yesu ili kuupa ujiko Uislam machoni pa Wakristo wasio waelewa. Isa sio Mungu ni ukweli na kama kuna MTU anapinga aje na andiko.
Yesu hayumo kwenye Quran kwa kuwa kwa kairabu jina Yesu sio Isa
Kweli Issa na Yesu ni vitu viwili tofauti, mmoja yupo hai na mwingine hayuko hai.
 
Mbona sijawahi kusikia watu kukamatwa kwa ajili ya kumtukana Yesu? Hii imekaaje wadau???

Hii imekaaje wadau? Kuna watu wanashikiriwa na polisi zanzibar eti kwa kosa la kumkashfu mtume.! Kwa wanaojua zaidi mtujuze..
Chanzo star TV.
Kukashifu dini na kutoa maneno ya dhihaka au kuudhi kwa dini ni kosa, tena kosa kubwa sana.
 
sasa watashtakiwa kwa kifungu gani cha sheria?
 
Usianzishe hoja yako kwa kujibu yangu.

Hukumu ya Rufani ya Dibagula ipo kwny Mtandao, Google usome!

Msingi wa Rufani ilikuwa ni Uungu wa Yesu na Freedom of Expression
Utakuwa una matatizo, mahakama inaweza vipi kutoa maamuzi kuhusu uungu wa Yesu au kuhusu unabii wa mtune yoyote?
 
Alisingiziwa Kumkashifu Yesu na Rufani ya Mahakama ya Rufaa ikathibitika kuwa Kukana MADAI ya baadhi ya watu kuwa Yesu ni Mungu si Kosa unless
Otherwise Serikal ithibitishe kuwa Yesu
Ni Mungu
Kweli kabisa unaitaka serikali ndio ithibitishe hilo?
 
Eti???? We unaona kosa dogo?? Kwa sehemu kama zanzibar 98% muslims afu useme sio haki..?? kwa Zanzibar ni kawaida na sio tu utashikiliwa na polisi hata Raia wake ama awe CUF au CCM watakufanya kitu mbaya....
Serikali ina dini?
 
Mungu ana nguvu, ana uwezo, ana Mamlaka ANA KILA KITU, kwa hiyo, HAPIGANIWI
Acha kupotosha, crusade war ilikuwa na lengo gani? Jihadi ina lengo gani? Historia inaonyesha Mungu wa dini zote amewahi kupiganiwa. Ndio maana Marx baada ya kutathmini nadharia ya dini katika ulaya magharibi na ilivyotumiwa na tabaka tawala kuwakandamiza wanyonge katika ile dhana ya "divine rule" akahitimisha kuwa "Region is an opium of society".
 
Utakuwa una matatizo, mahakama inaweza vipi kutoa maamuzi kuhusu uungu wa Yesu au kuhusu unabii wa mtune yoyote?

Mahakama ilitoa hukumu kuwa kusema Yesu ni Mungu au Si Mungu si Kosa ni sehemu ya Freedom of expression, acha uvivu soma hukumu ipo kwny Google nimeshakutajia ni Criminal appeal no. 53 ya 2001
 
Ni huyo mmoja tu asiyejielewa

Yaani nimpige au nimfunge mtanzania mwenzangu kisa kamtukana Mzungu au Mwarabu ambaye sijawahi kumwona?
Ndio yaleyale ya Gideon na mungu Baal!
kama mungu ana uwezo yanini asaidiwe kutetewa!
 
Back
Top Bottom