Wanashikiliwa kwa kumkashfu mtume

Wanashikiliwa kwa kumkashfu mtume

Ila sometimes allah anachekeshaga.

Mfano pale pa kuwataka waumin kujiua kisha akakutunuku barka zake
Mim niliisha sema sitaki kwenda pepon Kwan Allah huko hayuko. Akyanani tutakutana jehanamu na atanitambua!!! Hiki kikosi chake cha ugaidi kimeleta maafa makubwa
 
Yesu anakashfiwa kila siku lakini hakuna aliekamatwa
 
Ndiyo maana nasema hata wanasema Yesu sio Mungu pia hutumia biblia,mnachokifanya nyie mtu akiwapa andiko lenye kuonesha kuwa Yesu sio Mungu nyie mnaenda kutafuta andiko la kuhalalisha uungu wa Yesu.

Huoni kuwa ndiyo mnazidi kuonesha utata wa hili jambo?

Hapa tunajibu kwa ufupi.
Petro alipoyasema haya.
Matendo 3:13

Mungu wa Ibrahimu na wa Isaka na wa Yakobo, Mungu wa baba zetu, amemtukuza mtumishi wake Yesu, ambaye ninyi mlimsaliti na kumkana mbele ya Pilato, alipokuwa ametoa hukumu yake afunguliwe.

Petro alikuwa anawafundisha watu wenye imani ndogo sana hivyo ilibidi aanze kama alivyofanya.
Kumbuka ni Petro huyuhuyu aliyetangaza hadharani kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu aliyehai na ni huyu aliyekabidhiwa Kanisa na Yesu.

Petro alikuwa ameiva sana kiimani na alikuwa anamjua Yesu vizuri sana.

Soma Biblia yote ndio utaielewa lakini ukisoma vipandepande utachanganyikiwa.
 
Sijawai kuona sehem yesu anakashifiwa wala mtume anakashifiwa na kama imethibitika wamefanya ivyo basi wachukuliwe hatua...ila tu najaribu kuwaza ingekua waislam ndiyo wamekamatwa kwa kumkashifu yesu, sijui ndugu zetu wa kiislam wangeichukulia vipi?
waislam hawawezi kumkasifu yesu, kwa sababu katika imani ya kiislam yesu alikuwa mtume kama wengine. labda asiwe huyo yesu anaesemwa kasulubiwa
 
Mimi naongelea Wakristo na sio wale wanaojifunza ukristo.
Wakati unafundisha watu imani mpya lazima kuna watu watakuwa na mashaka kwa sababu ya kutokuelewa.Haya ndio yaliyomtokea Paulo.
Ukishakuwa Mkristo(yaani mfuasi wa Kristo) ina maana mashaka yote kuhusu Yesu yameshaondoka.
Haiingii akilini mtu kujiita Muislamu safi huku akitilia shaka Utume wa Mohamad(S.A.W).Kitakuwa ni kituko kumwita huyu mtu ni mwislamu.
Kwani ukiwa muislam au mkristo ina maana na akili inapotea? Yaani mtu ukose hata kufikiria kisa upo kwenye uislam au ukristo. Hapo utakuwa ni mlevi wa dini yaani akili haitumiki
 
Nimeisikia hiyo taarifa ss sijajua kama serekali ina aheria zinazojihusisha na maswala ya kidini
IPO mkuu kukashifu dini nyingine yoyote ni kosa la jinai! Pitia kifungu cha 125- 129, cha sura ya 16 ya sheria za nchi, ambayo inafahamika kama Penal code au kanuni za adhabu.
 
Na hilo ndiyo tatizo la wakristo,mnadhani kuwa na imani sana ndiyo usahihi wa hicho unachokiamini...imani ziko nyingi na haiwezekani zote zikawa sahihi hivyo lazima kuwe na dalili za usahihi wa hiyo imani.

Najua uzito wa Yesu kuitwa mungu kwenye ukristo ila cha kushangaza pamoja na uzito wa jambo lenyewe ila bado wenyewe kwa wenyewe wakristo wanatofautiana uwelewa katika jambo kubwa kama hili,ni kuonesha utata uliyopo kwenye hili jambo.

Mkuu kuna utata wa wazi katika madai ya Paul kumuona Yesu,fungua biblia na usome pote mule Paul alipolielezea hili tukio la yeye kumuona Yesu utaona anavyojichanganya sana. Kama ukishindwa kufanya hivyo sema nikuoneshe.


ila hizi imani tuziache kama zilivyo kila mtu aheshimu imani ya mwenzie
Christians hawaamini Muhammad kuwa alikuja baada ya Yesu
Muslims hawaamini kuwa Yesu ni mungu wao wanaamini kuwa ni Mtume
Hindu hawamtambui Muhammad wala Yesu
Wapagani ndio hawaamini yeyote
na dini zinginezo huamini vile wanavyoamini wao na kuona dini za wengine sizo..
Km umezaliwa katika dini fulani zingatia dini yako inavyokuaminisha, ila usidharau dini za wengine...
 
Hapa tunajibu kwa ufupi.
Petro alipoyasema haya.


Petro alikuwa anawafundisha watu wenye imani ndogo sana hivyo ilibidi aanze kama alivyofanya.
Kumbuka ni Petro huyuhuyu aliyetangaza hadharani kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu aliyehai na ni huyu aliyekabidhiwa Kanisa na Yesu.

Petro alikuwa ameiva sana kiimani na alikuwa anamjua Yesu vizuri sana.

Soma Biblia yote ndio utaielewa lakini ukisoma vipandepande utachanganyikiwa.
Hivi hilo andiko umelielewa kweli wewe? Hapo pameandikwa kabisa yesu ni mtumishi wa Mungu. Sema tena na hapa yesu anavyosema

Yohana 17:1-2
kama vile ulivyompa mamlaka juu ya wote wenye mwili, ili kwamba wote uliompa awape uzima wa milele.

2 Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma
 
Mimi naongelea Wakristo na sio wale wanaojifunza ukristo.
Wakati unafundisha watu imani mpya lazima kuna watu watakuwa na mashaka kwa sababu ya kutokuelewa.Haya ndio yaliyomtokea Paulo.
Ukishakuwa Mkristo(yaani mfuasi wa Kristo) ina maana mashaka yote kuhusu Yesu yameshaondoka.
Haiingii akilini mtu kujiita Muislamu safi huku akitilia shaka Utume wa Mohamad(S.A.W).Kitakuwa ni kituko kumwita huyu mtu ni mwislamu.
Mi nazungumzia utata wa Paulo kwenye Matendo 9:6 "Lakini simama uingie mjini nawe utaambiwa yakupasayo kutenda".

Yesu anamwambia Paulo aingie mjini ndiyo ataambiwa apasayo kutenda,lakini kwenye Matendo 26:15-18. Ambalo ni tukio hilohilo ila huku Yesu tayali anamwambia Paulo nini cha kufanya na si hadi aingie mjini kama ilivyoelezwa kwenye Matendo 9:6.
 
ila hizi imani tuziache kama zilivyo kila mtu aheshimu imani ya mwenzie
Christians hawaamini Muhammad kuwa alikuja baada ya Yesu
Muslims hawaamini kuwa Yesu ni mungu wao wanaamini kuwa ni Mtume
Hindu hawamtambui Muhammad wala Yesu
Wapagani ndio hawaamini yeyote
na dini zinginezo huamini vile wanavyoamini wao na kuona dini za wengine sizo..
Km umezaliwa katika dini fulani zingatia dini yako inavyokuaminisha, ila usidharau dini za wengine...
Mkuu mi mbona sijadharau imani ya mtu humu.
 
Kwanza ifahamike kwamba wanaoshikiliwa Sio wakristo bali ni waislam,
Nadhani ni yule dr wa hospital ya mnazi mmoja aliesema maalim seif Ndio mtume wa mwisho wa wapemba.
Jamaa katukana sana hiyo video haifai hata kutumwa humu,
Katumia lugha chafu sana dhidi ya maalim seif na mtume pia.
 
0b32a596dec5a2ccafe84b1b680ee9ca.jpg
 
Hivi hilo andiko umelielewa kweli wewe? Hapo pameandikwa kabisa yesu ni mtumishi wa Mungu. Sema tena na hapa yesu anavyosema

Yohana 17:1-2
kama vile ulivyompa mamlaka juu ya wote wenye mwili, ili kwamba wote uliompa awape uzima wa milele.

2 Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma

Kwa sababu umetumia kitabu cha Yohana na mimi nakujibu kwa vifungu kutoka kitabu hichohicho.

Soma na vifungu vifuatavyo.

1.Yoh.1:1-5 Tangu mwanzo Yesu alikuwa Mungu.

2.Yoh.8:58 Yesu akawaambia kabla ya Abrahamu kuzaliwa mimi nilikuwepo.

3.Yoh.10:30 Mimi na Baba tu Wamoja.

4.Yoh.8:22 Mimi nimetoka juu.

5.Yoh.10:33 Wanahudi wakamwambia tunataka kukupiga mawe kwa sababu unajifanya Mungu.

6.Yoh.14:7-9 tangu sasa mmekwisha mjua baba tena mmekwisha mwona.
 
Kwa sababu umetumia kitabu cha Yohana na mimi nakujibu kwa vifungu kutoka kitabu hichohicho.

Soma na vifungu vifuatavyo.

1.Yoh.1:1-5 Tangu mwanzo Yesu alikuwa Mungu.

2.Yoh.8:58 Yesu akawaambia kabla ya Abrahamu kuzaliwa mimi nilikuwepo.

3.Yoh.10:30 Mimi na Baba tu Wamoja.

4.Yoh.8:22 Mimi nimetoka juu.

5.Yoh.10:33 Wanahudi wakamwambia tunataka kukupiga mawe kwa sababu unajifanya Mungu.

6.Yoh.14:7-9 tangu sasa mmekwisha mjua baba tena mmekwisha mwona.
Basi tukubaliane ya kwamba biblia inajichanganya yenyewe. Maana mimi nimekupa maandiko yote yanaonesha yesu sio Mungu bali yesu ana Mungu wake ambaye ndiye anayemtegemea katika biblia hiyo hiyo. Kwa kifupi ni hivi:

Yohana 20:17

Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.
 
Sijawai kuona sehem yesu anakashifiwa wala mtume anakashifiwa na kama imethibitika wamefanya ivyo basi wachukuliwe hatua...ila tu najaribu kuwaza ingekua waislam ndiyo wamekamatwa kwa kumkashifu yesu, sijui ndugu zetu wa kiislam wangeichukulia vipi?
Weeeee, ungesikia habarivya udini hapo ingezungumzwa saana. Yaan hawa wenzetu cjui VP!!
 
Back
Top Bottom