KIOO
JF-Expert Member
- Mar 3, 2013
- 6,249
- 5,962
Wewe unaejua ndio unieleweshe. Kama una amini kuwa Mungu ana nafsi tatu basi hakuna Mungu aliyekamili.
Ni kweli mkuu tuko katika kueleweshana angalau na sie tusiojua tuweze kujua pia.
Wewe unaejua ndio unieleweshe. Kama una amini kuwa Mungu ana nafsi tatu basi hakuna Mungu aliyekamili.
Usifukuwe makaburi tafadhaliMbona sijawahi kusikia watu kukamatwa kwa ajili ya kumtukana Yesu? Hii imekaaje wadau???
Wewe unaejua ndio unieleweshe. Kama una amini kuwa Mungu ana nafsi tatu basi hakuna Mungu aliyekamili.
Matendo 22:5-10 pia bado haijagusia maelezo hayo aliyoyaeleza Paulo kutoka kwa Yesu kama ilivyoeleza Matendo 26:15-18, ambayo Paulo anapewa kabisa maelezo.Wala hapo hakuna kujichanganya hata kidogo.
Mat.9:6 inaeleza jinsi Sauli alivyotokewa na Yesu na maono mbalimbali aliyopewa wakati Mat.26:15-18 Paulo alikuwa anatoa utetezi wake mbele ya Mfalme Agripa.
Hapa kwenye utetezi alikuwa anatoa muhtasari wa yaliyotokea kwa ufupi ambayo alikuwa hajyajaandikwa katika vifungu vilivyotangulia.Anania huko Damascus alimwombea Paul na hatimae kujazwa Roho mtakatifu.
Roho Mtakatifu ndio mwongozo na Roho ya utendaji kwa Wakristo.Bila Roho Mtakatifu huwezi kutenda mambo yoyote ya kimungu. kwa hiyo Yesu alipomwambia aende mjini na ataambiwa yaliyo sahihi kufanya alimaanisha atapokea Roho Mtakatifu.vifungu vyote vipo sahihi.
Si kweli,kwa sababu hivyo ulivyovitaja unakuja kulazimika kuviamini baada ya kwisha mjua Mungu na ukaamini uwepo wake ndipo unakuja kuamini hivyo vitu.Hii ni Imani kama vile tunavyoamini kuna Mbingu,Moto wa Milele na Maisha baada ya Kifo.
Matendo 22:5-10 pia bado haijagusia maelezo hayo aliyoyaeleza Paulo kutoka kwa Yesu kama ilivyoeleza Matendo 26:15-18, ambayo Paulo anapewa kabisa maelezo.
Sasa hayo ya Roho mtakatifu unayapenyezea wapi labda utoe maelezo ya kina.
Na bado kuna utata mwingi tu hapo zaidi ya huo.
Kwahiyo pia unakubali Mungu mwana aliwahi kuzaliwa na kufa pia?
Hii ni Imani kama vile tunavyoamini kuna Mbingu,Moto wa Milele na Maisha baada ya Kifo.
Mkuu unatoa maelezo bila ushahidi wowote tena yenye kujichanganya,hebu toa ushahidi wa hayo unayoyaeleza.Sioni tatizo lolote hapo.
Maelezo ya Matendo.26:15-18 na 22:5-10 ni maelezo aliyapatiwa wakati anafanywa kipofu.
Hapa alipewa maagizo na kuambiwa kazi za kufanya.Pamoja na kupangiwa na kuambiwa baadhi ya majukumu yake lakini kimsingi hataweza kuyafanya mpaka atakapofika Damascus.
Matendo 9:6 aliambiwa aende mjini na huko ataambiwa anachopaswa kufanya.
Wakristo tunafanya kazi za Kimungu baada ya kupokea Roho Mtakatifu.Sauli alipofika mjini alibatizwa na kuitwa Paulo.
Hapo alimpokea Roho mtakatifu kwa ajili ya kutekeleza majukumu ya Kimungu.Ndio maana Yesu alimsihi afike kwanza Damascus.
Yoh.9:17-19 Basi Anania akaenda,akaingia katika hiyo nyumba(aliyokuwepo sauli).Akamwekea mikono juu yake
akasema,Yesu amenituma ili upate kuona tena na kujazwa Roho Mtakatifu.
Sauli akasimama,Akabatizwa.Na baada ya kula chakula,Nguvu zake zikamrudia.
kuona tena.
Si kweli,kwa sababu hivyo ulivyovitaja unakuja kulazimika kuviamini baada ya kwisha mjua Mungu na ukaamini uwepo wake ndipo unakuja kuamini hivyo vitu.
Sasa suala la utatu linahusu Mungu ni tofauti na hivyo vitu ulivyovitaja. Na hata hivyo huo utatu kauleta Paulo.
Nashindwa kuelewa mantiki yako ya kutaja mbingu sjui moto wakati tulichoomba ni kueleweshwa kuhusu umungu wa yesu mkuu.
Ingependeza kama unge-stick kwenye main point hata kama utatoka nje kidogo ya point kwa ajili ya kutupa mifano sio mbaya ila baada ya hapo urudi kwenye kutuelewesha umungu wa yesu nasi tusiojua tujue pengine labda tunaweza tukafaidika na jambo pengine.
Shukran.
Mkuu sijadhalilisha,nimeuliza hivyo kwa sababu katika sifa za Mungu moja ni kutokufa.Tujitahidi tusidhalilishe imani ya mtu yeyote
Hujui lolote zaidi ya kukariri.Elimu yako ni ndogo sana kuhusu Biblia.
Utatu mtakatifu unatajwa sehemu nyingi sana na wala hazihusiani na Paulo.
Nikutolee mifano michache.
1.Luke.3:22. Roho Mtakatifu alimshukia YESU wakati anabatizwa na Sauti ikatoka Mbinguniikisema huyu ni Mwanangu mpenzi,msikilizeni yeye.
2.Mathayo.28:19 .Batizeni kwa Jina la BABA na MWANA na ROHO MTAKATIFU.
Mkuu unatoa maelezo bila ushahidi wowote tena yenye kujichanganya,hebu toa ushahidi wa hayo unayoyaeleza.
Halafu pia kuhusu Paulo kupata upofu ni utata mwengine,maana kilichomfanya Paulo apate upofu kwanini hakijawafanya na wale aliyokuwa nao pia kupata upofu?
Sioni tatizo lolote hapo.
Maelezo ya Matendo.26:15-18 na 22:5-10 ni maelezo aliyapatiwa wakati anafanywa kipofu.
Hapa alipewa maagizo na kuambiwa kazi za kufanya.Pamoja na kupangiwa na kuambiwa baadhi ya majukumu yake lakini kimsingi hataweza kuyafanya mpaka atakapofika Damascus.
Matendo 9:6 aliambiwa aende mjini na huko ataambiwa anachopaswa kufanya.
Wakristo tunafanya kazi za Kimungu baada ya kupokea Roho Mtakatifu.Sauli alipofika mjini alibatizwa na kuitwa Paulo.
Hapo alimpokea Roho mtakatifu kwa ajili ya kutekeleza majukumu ya Kimungu.Ndio maana Yesu alimsihi afike kwanza Damascus.
Yoh.9:17-19 Basi Anania akaenda,akaingia katika hiyo nyumba(aliyokuwepo sauli).Akamwekea mikono juu yake
akasema,Yesu amenituma ili upate kuona tena na kujazwa Roho Mtakatifu.
Sauli akasimama,Akabatizwa.Na baada ya kula chakula,Nguvu zake zikamrudia.
kuona tena.
Mkuu, kwani yesu ni mtoto wa nani naomba kufaham na ningependa kuskia kutoka kwako kiongozi.
Shukran.
Hujui lolote zaidi ya kukariri.Elimu yako ni ndogo sana kuhusu Biblia.
Utatu mtakatifu unatajwa sehemu nyingi sana na wala hazihusiani na Paulo.
Nikutolee mifano michache.
1.Luke.3:22. Roho Mtakatifu alimshukia YESU wakati anabatizwa na Sauti ikatoka Mbinguniikisema huyu ni Mwanangu mpenzi,msikilizeni yeye.
2.Mathayo.28:19 .Batizeni kwa Jina la BABA na MWANA na ROHO MTAKATIFU.
Yesu ni Mtoto wa Baba.
Sasa hapo ndiyo umefanyaje?Hujui lolote zaidi ya kukariri.Elimu yako ni ndogo sana kuhusu Biblia.
Utatu mtakatifu unatajwa sehemu nyingi sana na wala hazihusiani na Paulo.
Nikutolee mifano michache.
1.Luke.3:22. Roho Mtakatifu alimshukia YESU wakati anabatizwa na Sauti ikatoka Mbinguniikisema huyu ni Mwanangu mpenzi,msikilizeni yeye.
2.Mathayo.28:19 .Batizeni kwa Jina la BABA na MWANA na ROHO MTAKATIFU.
Mkuu sijadhalilisha,nimeuliza hivyo kwa sababu katika sifa za Mungu moja ni kutokufa.
Ina maana kama Yesu alikuwa na uungu hatuwezi kusema kwamba alikufa.