professor aliwaita engineer,scientist na mwanasheria na akwaanza kuwauliza maswali
Professor: mbili jumlisha mbili ni ngapi???
Engineer: Jibu ni nne
Scientist: Jibu ni 3.999
Mwanasherirofessor wewe unataka jibu liwe ngapi????
Mi nimeelewa.ina maana mwnasheri huwa hana jibu maalum huwa anatoa jibu kulingana na mteja au mhusika atakavyo taka.ndio maana wakili anamtete mtuhumiwa hata kama anakosa.anatetewa kwa refference tofauti mpaka anashinda kesi.nawakilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.