Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 18,166
- 29,867
Kuna sera huwa hazitangazwi kwa uwazi, lakini mtu una akili, utaweka mbili na mbili utalipata jibu la nne.
Jijini Dar, wachina wamechukua kazi karibu zote za barabara.
Wazawa walie tu.
Siku hizi kila mtoa kazi za Ujenzi ana "mchina wake".
Wakandarasi wazawa uzeni tu mitambo yenu kabla kutu haijaiharibu kabisa.
Mbaya zaidi TANROADS ndio inakufa, Road Fund inachotwa kama watu hawana akili nzuri.
Awamu ya sita na wachina ni damu damu.
Na Tanzania itajengwa na wachina.
Jijini Dar, wachina wamechukua kazi karibu zote za barabara.
Wazawa walie tu.
Siku hizi kila mtoa kazi za Ujenzi ana "mchina wake".
Wakandarasi wazawa uzeni tu mitambo yenu kabla kutu haijaiharibu kabisa.
Mbaya zaidi TANROADS ndio inakufa, Road Fund inachotwa kama watu hawana akili nzuri.
Awamu ya sita na wachina ni damu damu.
Na Tanzania itajengwa na wachina.