Nawiwa kuombwa msaada wa kutafsiriwa kifungu hiki Cha 84 (2) Cha katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kuhusu namna ya kumpata spika wa bunge.
Ni sahihi kusema kuwa nafasi ya naibu spika haijatajwa kwenye ibara hiyo Kama alivyosema Tulia?
Ni sahihi Kwa naibu spika kugombea nafasi ya spika bila kujiuzulu nafasi anayoishikilia?
Ukada marufuku kwani nitakuwasha nipate ban ya maisha!
Ni sahihi kusema kuwa nafasi ya naibu spika haijatajwa kwenye ibara hiyo Kama alivyosema Tulia?
Ni sahihi Kwa naibu spika kugombea nafasi ya spika bila kujiuzulu nafasi anayoishikilia?
Ukada marufuku kwani nitakuwasha nipate ban ya maisha!