Wanajua lakini wanaziba masikioSwala ni wao kujiuliza kwanini watu wamefikia hatua hii.
Usitupe mtama kwenye kuku wengi.tuambie watafanyaje?,weka hoja hapo. unakuta mtu kafungua email fake, namba ya simu fake kwanza alishaitupa miezi sita iliyopita, akaunt jf fake, jina lake halijulikani, uhalifu kafanyia internet cafe sio kwenye simu yake, unampataje mtuhumiwa? hawa ambao wanatapeli pesa katika makampuni kama mpesa,aitel nk hawpatikan wote,anatumia line na kutupa hawapatikani. juzi tu kuna mtu nilimwona ofisi ya vodacom anaomba msaada ametapeliwa fedha kupitia mpesa wakamwambia hawawezi kum trace mhalifu coz wanatumia line na kuzitupa ,
Ninyi malaika leteni hayo maendeleo, kwani lazima myategemee majizi?CHADEMA wameungana na Mafisadi kupigania maandamano badala ya kupigania maendeleo .!!!
Aliyewaambia watanzania wanahitaji maandamano na siyo maendeleo ni nani?
Shame to you all
nashukuru ,umejibu kwa busara sanaUsitupe mtama kwenye kuku wengi.
Rudi tu kwenye mada, ili usiwe irrelevant. Sawa?CHADEMA wameungana na Mafisadi kupigania maandamano badala ya kupigania maendeleo .!!!
Aliyewaambia watanzania wanahitaji maandamano na siyo maendeleo ni nani?
Shame to you all
Unakumbuka kijana aliyemwagiwa tindikali kule Igunga? baadae akawa mdoli wa Mwigulu anapita nae kila mahali kumuonyesha na kusema CHADEMA wamemfanya hivi!Mimi Kwa Maoni Yangu, Mwigulu Ni mojawapo ya watu ambao Kwa Tukio Hili wanafaa wachunguzwe, Hili tukio lina Kila dalili ya Kuwa Lilipangwa kwa siasa. Masikini Watoto wa Watu, Askari wale wanne wanaweza Kuwa walitolewa Kafara na Watu waovu sana Kisiasa. Mungu Sii Mwanadamu Ukweli Utajulikana!
Tukio limetokea muda gani ambao aliweza kubadili nguo na kutilia magwanda ya polisi na kwenda kwenye tukio? au alikuwa amevaa ametoka nayo ofisini?Mwigulu mwenyewe tunamtilia shaka!
Keshokutwa itakuw marufuku mtu kuvaa viatu. Watawala wamepoteza uwezo wa kufikiri kabisa.Hehe. Sasa serikali imefikia hatua ya kudhani ina mamlaka ya kutawala mpaka hisia za watu/wananchi. Kwamba sasa serikali ndiyo itatoa amri na maelekezo ya ama kufurahia au kuchukia jambo flani linapotokea. Hisia za watu/wananchi sasa hazitokani na utashi na maono ya mtu mmoja mmoja bali maelekezo yanayotolewa na serikali. Serikali imefikia hatua ya kuuliza watu kwa nini wanafurahia au kwa nini hawafurahii na kutoa adhabu kwa jinsi ambavyo watawala wanaona inafaa. Hizi ni sifa za utawala wa kiimla.
au wamelewa madarakaWanajua lakini wanaziba masikio
Dah, tulipofikia ni pabayaHayo ni maneno ya Waziri wa Mambo ya Ndani mh. Mwigulu Nchemba kuwa kwa wale wote watakaoonesha kufurahia jambo hili wataitwa kwenye vyombo vya sheria kujieleza.
My take: Kabla ya kuwapeleka kwenye vyombo vya sheria kujieleza kwanini serikali isijiulize kwanini imefikia hatua mpaka polisi kuuawa wananchi wanashangilia?