Wanaowabeza Polisi mitandaoni ‘kushughulikiwa’

Wanaowabeza Polisi mitandaoni ‘kushughulikiwa’

Hakuna Nchi yeyote duniani polisi awauliwi,hakuna Nchi yeyote duniani wapinzani hawapingani na serikali na tanzania siyo nchi Ya kwanza duniani kutumia polisi kuzuia maandamo,Ukuta Ni swala la mpito tu,the choice is yours Ka unafuata Ya wanasisa fuata ka we Mtu wa kazi piga kazi ni siasa za mpito tu
 
Mnawatumia police why tusiwachukie??na wenyewe na vimishahara vyao vya ovyo ovyo wanakubali kutumika bila mpango wowote....me siwezi nikawapenda police kwa jinsi wanavyotumika na hamna mtu atakayenilazimisha wala kunifanya choxhote kisaaa siwapendi police haya mwigulu kazi kwako njoo mtukamate basi....mnaongea vitu ambavyo havina maana hata kidogo alafu eti ni waziri huyo
 
Jeshi letu la police linafanyakazi nzuri sana linang'aa kiutawala na linaongoza kwa kuwatishia raia wasio na silaha, wameona size yao ni raia na walipojaribu kwa majambazi walipata moto mkali ndo maana wamerudi kwa raia vibonde wao, kagera kule juzi wameuawa raia 56 na inasadikika wameuawa na askari wa Rwanda lakini kimya hadi saiv, sisi raia tusiojua hata kushika bastola tunapigiwa mazoezi kwa ving'ora na washawasha, Jeshi letu la police hoyeeeee!!

Ndio hicho wanachojuwa mkuu hawana kipyaaa kabisaaa ikifikia upande wa majambazi hawana ujanja hata kidogo wanaishia kuuwawa kila siku....ila kazi yao kubwa kuwapiga wananchi na kuwazuia chadema ila majambazi kila siku wanawamaliza na hamna kinachofanyia hamna kitu kabisaaa jeshi la police fateni JWTZ jinsi walivyo hamna mtu anawatumia wapo kuilinda nchi zaidi hawana mchezo kabisaaa
 
Polisi sasa wanafanya shughuli za siasa... Ni bora wakajisajili kwa msajili wa vyama tuwatambue km CCM tu
 
Njoeni mtukamate alafu mtatufunga kwa sheria gani??viongozi wa nchi hapo too low....huwezi kunilazimisha nimpende mtu hela ya kula natafuta mwenyewe sipati msaada wa mtu.....
 
Jeshi letu la polisi halifungamani na chama chochote!hapo umesema uongo!na hilo ndo tatizo kubwa la watanzania hatupendi kusema ukweli sijui kama ni uoga au unafiki.

Mkuu, linapaswa kufungamana na chama gani?
 
Mimi kupenda Mtu ambaye yeye hakupendi kwakweli I hate police, wanatukazia Sana Hawa wakikukuta kwenye anga zao.
 
mh kitu cha kimoyomoyo kinahusika yaan nashabikia moyoniiii ahahahahaaaa me sipo
 
Polisi imara maneno ya mitandaoni tu yamewachoma vibaya. Kumbe ule ukakamavu ni wakiwa na silaha tu! Poleni. Musijiaibishe hadharani hivi. Tunawategemea kwa ulinzi wa Nchi yetu.
 
mmmh! Sasa naanza kuamini kuwa wengi yamefika kooni...bado kuyatapika tu...
Uwoga waliopandikiza kwa raia pamoja na kwamba kwa kiasi kikubwa umewasaidia sana katika utawala huu wa kiimla, wasifikiri sasa wana uwezo wa kutoa agizo lolote na likafuatwa kama lilivyo hata kama ni la kakipuuzi...!! Yaani unaanzaje kunipangia namna ya kutoa hisia zangu? eti tunawabeza!!? Hivi ni uwaledi upi wanaojivuniaga hawa mapolisi wa tanzania?

Nilishasema na nitaendelea kusema....!! Jeshi la polisi la tanzania ni dhaifu sana na halina uwezo wa kupambana na real criminals

Mara kadhaa tumekuwa tukishuudia uvamizi wa mabenki na waarifu kutokamatwa huku wakifanikiwa kuondoka na fedha na polisi kuishia kukamata suspects tu.

Askari wanapigiwa simu muda ambao tukio la uharifu linafanyika anaanza kuuliza maswali ya kipuuzi... eti wako wangapi!?,wana siraha!?... alafu wanakuja dakika 20 baada ya waarifu kuondoka..bulishiit

Yaani watu wawili wanavamia kituo cha polisi wakiwa na mapanga tu alafu wanaondoka pale wakiwa na siraha nzito tena na magazine na huku wakiacha wameua askari wanne waliokuwa na hizo siraha kwenye kituo hicho.


Sasa kwa jishi la polisi la dizaini hii, si utakuwa ni uchizi nikisema eti na mimi nilisifie kutoka moyoni!!?

Mapolisi wa tanzania kikubwa wanachoweza ni kudeal na vibaka wadogo wadogo kama wezi wa simu, kupambana na raia wema wasiokuwa na siraha huku wenyewe wakiwa wamejizatiti kwa kila namna.....!! Na pia kingine kikubwa wanachooneka kuweza sasa ni kukimbizana na watu mitandaoni waliopo hapa nchini na hii inakuwa rahisi sababu wengi wa hao askari tunashinda nao humu. Majitu yanapenda rushwa kama hayapokei mishahara, yaani mpaka imeshakuwa kawaida bila kurefusha mkono hupati msaada...Nitalieshimuje jeshi la polisi kama hili!?


HAYA NI MAONI YANGU AU HISIA ZANGU....!!

HAKUNA BINADAMU ANAYEWEZA KUNIPANGIA NIWAZE VIPI JUU YA JAMBO FLANI.
 
Back
Top Bottom