KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,292
Mbona waliokua wanazomea wavaa nguo za kijani kipindi cha kampeni walikua wanakamatwa?
Kwanini hujaweka habari kamili?
na umasikini huu tutaweza nguo za viwandani kweli?huyu mwijage ni kichaa ama screws zake zimelegea
ana wazimu , mitumba hata marekani wanavaa, sagula sagula hata London ipo, manahtaan ipo. viwanda wameua, atwambie MUTEX, SUNGURATEX, MWATEX, N.K viko wapi? watu wengine bwana ni kupenda misifa alikuwa 🙁kitwangalize?
Waziri wa Viwanda na Biashara Ndugu Charles Mwijage amesema kwamba kuanzia mwakani watu wote wanaovaa nguo za nje watazomewa ili kulinda viwanda vya nguo vya ndani
***Waziri wa Viwanda na Biashara Ndugu Charles Mwijage amesema kwamba kuanzia mwakani watu wote wanaovaa nguo za nje watazomewa ili kulinda viwanda vya nguo vya ndani
***Waziri wa Viwanda na Biashara Ndugu Charles Mwijage amesema kwamba kuanzia mwakani watu wote wanaovaa nguo za nje watazomewa ili kulinda viwanda vya nguo vya ndani
leo wanaongea na wachina kupata viwanda na hakuna mwekezaji atakubali hasara so tujiandae kwa bei pia
Hamna shida tutavaa za ndani yaani chupi bikini vest na nyingine zinazo husiana na ndani na kutembea hivyo hivyo ili tusizomewe.Waziri wa Viwanda na Biashara Ndugu Charles Mwijage amesema kwamba kuanzia mwakani watu wote wanaovaa nguo za nje watazomewa ili kulinda viwanda vya nguo vya ndani