tudadavulie mkuu
Kama leo masikini tumekosa sukari kwa maamzi yao yasiyohusisha utafiti basi tujiandae kutembea uchi kama si kuvaa majani.
Waziri wa Viwanda na Biashara Ndugu Charles Mwijage amesema kwamba kuanzia mwakani watu wote wanaovaa nguo za nje watazomewa ili kulinda viwanda vya nguo vya ndani