Wanaovaa nguo za nje kuzomewa

Wanaovaa nguo za nje kuzomewa

Hon naongea na wachina juu ya kiwanda cha kutengeneza simu, sio nguo!!! Soon TCRA watatoka na lao kuanzia mwakani hakuna kutumia cm za nje tutumie za ndani kulinda viwanda vyetu #mwendkas
 
Kwa hiyo tujiandae kuvaa boxer za T.M.K, utajiju na WCB? Hahah..Bongo raha sana..
 
Waziri wa Viwanda na Biashara Ndugu Charles Mwijage amesema kwamba kuanzia mwakani watu wote wanaovaa nguo za nje watazomewa ili kulinda viwanda vya nguo vya ndani
Waziri mwenye mawazo kama haya ni mzigo.
 
kumbe yule Waziri ni kiazi kuliko nilivyodhani...na sisi tutawazomea mawaziri kwa kushindwa kwenye suala la sukari
 
It is only in Tanzania...........!!!!!!😀😀😀😀😱😱
 
viwanda nchini vina nguo gani... yale matambara... asituchoshe nae...
 
Kwenye sukari wameshindwa naomba wasianze kutupangia na nguo za kuvaa.
 
aaAaaH uyu wazir ndio wakuongea haya



duu.hajasomea hata siasa
 
Nashauri jina moja la Mh Rais lifutwe, badala yake liwe J-M. Kuna tatizo hapa katika matumizi sahihi ya jina hilo P, majina huumba.
 
Back
Top Bottom