Wanaovaa nguo za nje kuzomewa

Wanaovaa nguo za nje kuzomewa

Mimi nitoe tu ushauri juu ya hili, kwanza waboreshe kilimo cha pamba na solo Liwe linajulikana haswa, mkulima apewe ruzuku katika hili, au awezeshwe kwa riba nafuu na Benki ya kilimo, wakulima waanze kutambua sasa lipi ni zao LA biashara na lipi LA chakula,
 
Mimi nitoe tu ushauri juu ya hili, kwanza waboreshe kilimo cha pamba na solo Liwe linajulikana haswa, mkulima apewe ruzuku katika hili, au awezeshwe kwa riba nafuu na Benki ya kilimo, wakulima waanze kutambua sasa lipi ni zao LA biashara na lipi LA chakula,
watu wana hasira na pamba acha tu
 
Hili agizo lipo pia kwenye samani za ofisi za serikali lakini ukitembelea hizo ofisi utaona samani sehemu kubwa inatoka nje ya nchi. Serikali yenyewe imeshindwa kutii agizo lake la samani za ofisi za serikali seuze huu uvaaji wa nguo wataweza? Suala la kujiuliza kwa kipindi hicho kifupi tutaweza kutosheleza utashi wa wavaaji nguo? Au tutalazimishwa kuvaa nguo za aina moja? Bado natafakari!?!
 
Waziri wa Viwanda na Biashara Ndugu Charles Mwijage amesema kwamba kuanzia mwakani watu wote wanaovaa nguo za nje watazomewa ili kulinda viwanda vya nguo vya ndani
ndio mwisho wa creativity ya CCM
 
Waziri wa Viwanda na Biashara Ndugu Charles Mwijage amesema kwamba kuanzia mwakani watu wote wanaovaa nguo za nje watazomewa ili kulinda viwanda vya nguo vya ndani
Tutaanza kuwazomea wao
 
Huyu Waziri ni Kilaza! Hivi ni nani mwenye akili sawa sawa atamzomea mwenzake? Waanze wao kuanzia sasa wavae nguo vilizotengenezwa hapa hapa, naona huu ni mzuka mwingine.
 
Huyo mtu wa kumzomea mwenzake atatoka wapi???
 
angalieni wa diaspora mtaanza kusachiwa uwanja wa ndege mniagize kabisa ngui za nyumbani
 
Mitumba tu imetushinda kufanya package hapa nchini, tutaweza nguo mpya kweli? tuanze na mitumba kwanza.
 
Kila la kheri na hilo. labda yeye ndio atakae zomewa.

yaani wanasiasa wa TZ ni shida tupu. hii ndio akili yao.
Bora hata waombe msaada jinsi ya kutatua tatizo kuliko
kuja na haya matakataka yao. hata aibu hawana eti wasomi.
 
Back
Top Bottom