Wanaovaa nguo za nje kuzomewa

Wanaovaa nguo za nje kuzomewa

Rais Magufuli akutana na wachina Ikulu kupanga mikakati ya viwanda, Tanzania kuanza kuunda simu zake
 
Duuuh.. hii kali.. nae kapiga KITWANGA NGAPI...? Bado ana hang over sana... uuuhh..!!
 
Waziri wa Viwanda na Biashara Ndugu Charles Mwijage amesema kwamba kuanzia mwakani watu wote wanaovaa nguo za nje watazomewa ili kulinda viwanda vya nguo vya ndani
Nguo za kutoka china ndio zimezagaa, kwa kuwa wachina wanaamisha viwanda vyao hapa hakuna atakae zomewa make tayari zitakua zinatengenezwa hapahapa.
 
Alaf mkishazomewa ndo itamvuka au itachanika
 
Watu hukimbilia vya nje kwa kufatana na ubora wake, hivi vya ndani ili vitufae na tuachane na vya nje ni wao na viwanda vyao kuhakikisha ubora usiopingika na ikiwezekana wafikie viwango vile vya nje au zaidi, hapo wala hakutakuwa na haja ya kumzomea mtu, automatically watu tutajikuta tukivaa vya ndani na kuachana na vile vya nje! Nchi ina mikakati ya kuelekea kwenye mapinduzi ya viwanda, ngoja tuendelee kuomba yawe wanayoyakusudia.
 
Waziri wa Viwanda na Biashara Ndugu Charles Mwijage amesema kwamba kuanzia mwakani watu wote wanaovaa nguo za nje watazomewa ili kulinda viwanda vya nguo vya ndani
Aanze kujizomea !!
 
Nani atakuwa anawazomea?
Au wataajiri kikundi cha zomea zomea?
Basi waanze wao kuzomewa kwani malighafi za kujengea icho kiwanda watanunua kutoka nje ya nchi
 
Waziri wa Viwanda na Biashara Ndugu Charles Mwijage amesema kwamba kuanzia mwakani watu wote wanaovaa nguo za nje watazomewa ili kulinda viwanda vya nguo vya ndani
kakurupuka huyu, wakizomewa na kijani yao wanawashtaki, yaani hii nchi bana, hawa watawala kwa kujiona wako juu ya sheria, unazomea nakukata kidafu
 
Waziri wa Viwanda na Biashara Ndugu Charles Mwijage amesema kwamba kuanzia mwakani watu wote wanaovaa nguo za nje watazomewa ili kulinda viwanda vya nguo vya ndani
Chanzo?
 
Waziri wa Viwanda na Biashara Ndugu Charles Mwijage amesema kwamba kuanzia mwakani watu wote wanaovaa nguo za nje watazomewa ili kulinda viwanda vya nguo vya ndani

huyu mwijage ni kichaa ama screws zake zimelegea
ana wazimu , mitumba hata marekani wanavaa, sagula sagula hata London ipo, manahtaan ipo. viwanda wameua, atwambie MUTEX, SUNGURATEX, MWATEX, N.K viko wapi? watu wengine bwana ni kupenda misifa alikuwa 🙁kitwangalize?
 
Waziri wa Viwanda na Biashara Ndugu Charles Mwijage amesema kwamba kuanzia mwakani watu wote wanaovaa nguo za nje watazomewa ili kulinda viwanda vya nguo vya ndani

Kumbe mtu unaweza kuwa waziri hujui hata namna ya kuimarisha viwanda vya ndani. Unalazimisha watu wale nyumban i hata kama vyakula vimeoza vinatoa funza!. Kwamba atakayekwenda mgahawani atakiona!.Bado wewe unafaa kusimamia mamlaka ya kuongoza familia?

Hapa Waziri umechemsha!. Anayezomea atakuwa analipwa shiling ngapi na zitatoka wapi? Huu ni zaidi ya ukosefu wa mikakati.
 
Ni wazi semina elekezi inahitajika sana kwa mawaziri pindi tu wanapoteuliwa na Raisi..Cjui wanakula maharage ya wapi hawa!!?
 
Nani atoe semina elekezi mkuu, maana hata mkuu wa kaya nae anahitajika apewe semina
 
Waziri wa Viwanda na Biashara Ndugu Charles Mwijage amesema kwamba kuanzia mwakani watu wote wanaovaa nguo za nje watazomewa ili kulinda viwanda vya nguo vya ndani
Kwanini hujaweka habari kamili?
 
Ni wazi semina elekezi inahitajika sana kwa mawaziri pindi tu wanapoteuliwa na Raisi..Cjui wanakula maharage ya wapi hawa!!?
ndio system ya nchi hiyo ndugu. Raisi anasema chomoeni tairi muuze waziri anasema watu wazomewe, safi sana.
 
Back
Top Bottom