Wanaotumia DIGITEK na CONTINENTAL tuambie!

hivyo vyakurekodi havina ishu...
1. kwanza sio kila channel unaweza kurekodi.. ni baadhi ya channel tu zinazokubali.
2. inarekodi kipande kidogo sana kama dakika 4 tu. hata kama umeweka flash yenye free space kibao

Sawa sawa mkuu
 
Nashukuru kujua hilo. We unaweza kuwa na msaada zaidi.
Natafuta king'amuzi kwa ajili ya ndugu yangu anataka kwa ajili ya watoto wake. Ukiacha Continental na DSTV, ni kipi ambacho kinaweza kuwa msaada kwa ajili ya mahitaji ya watoto wake kwa maana ya programu bora za watoto pamoja na cartoon ?

ndugu.kuusu prog za watoto bado hawajaweka ila niliwasiliana na wahusika wamenitonya prog za watoto zinakuja hivi karibuni.maana wanakamlisha uingizaji wa station zifike 60 ila kwa sasa kuna station ya [star movie+] ambayo hipo kwenye kingamuzi hichi inaonyesha cartoon kila j2 kuanzia saa tatu kamili usiku.nihayotu [comrade] mwenzangu.nakushauri ukinunue hutajutia pesa yako.
 
Kwa mtindo huu mtu unaweza kujaza visumbusi Sebuleni kama unafanya kazi TCRA


Sent from my iPad Air using JamiiForums
 
kwa mtindo huu mtu unaweza kujaza visumbusi sebuleni kama unafanya kazi tcra


sent from my ipad air using jamiiforums

na hilo ndo tatizo kubwa tulilonalo kwa sasa kwenye media and entertainment industry hususan kwenye television
 
mkuu naweza kusema [contnental] ni kingamuzi bora kabisa.maana mimi nimenunua vingamuzi karibu vyote ila ikicha [contnental] ni kiboko.ubora wa picha ni ngavu sana sauti ni bora sana uzuri zaidi ni kwenye kurecord kwaliti yake ni nzuri mno mno.mfano unaweza ukatega ijirecord na kujizima yenyewe kwa mfano saa 5 sinta kuwepo nitakachofanya ni kukiprogram.ifikapo saa 5 kianze kurecord na ikifika mwisho kijistop kurecord.yaani niraha sana.ila vipo vya aina 2 tofauti kuna cha zamani na cha sasa.cha zamani ndio chenye haya mambo kwaiyo uendapo kukinunua waambie nipeni kingamuzi toleo la kwanza.
wako vizur kumbe
 
Back
Top Bottom