hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,884
- 2,781
hivyo vyakurekodi havina ishu...
1. kwanza sio kila channel unaweza kurekodi.. ni baadhi ya channel tu zinazokubali.
2. inarekodi kipande kidogo sana kama dakika 4 tu. hata kama umeweka flash yenye free space kibao
Sawa sawa mkuu