Nadhani, somo hili la "oath" linahitaji kueleweshwa vizuri.
Lakini kwenye la kiapo nirudie hotuba ya Baba wa Taifa Mwalimu J.K. Nyerere baada ya kuapishwa kama Rais wa Jamhuri ya Tanganyika Disemba 9, 1962. Alizungumzia hivi kuhusu 'kiapo' maneno ambayo yangeweza kurudiwa kwa kila kizazi:
Yesterday I took an oath. I swore that as President of the Republic of Tanganyika I would to my duty and carry out my work without fear or favor, affection or ill will towards anyone. That was no hollow formula, to be spoken and forgotten. It was a most solemn promise, made before Almighty God, that with His help I shall prove myself worthy of the responsibility which you- the people of Tanganyika - have entrusted me; that I shall strive to fufill the task laid upon me without permitting myself to be of my comfort or convenience. I say "I' sore, but in actual fact it is true say that "we" swore; for I took that oath on your behalf. Every citizen of Tanganyika, whether he be the President, or a politician, a civil servant, a farmer, a teacher, or the lowest -paid worker in the land, every single one of us has an equal duty to give of his best. Every one of us has an equal duty to do the work entrusted to him - whatever that work may be - as if he too had taken a solemn oath to devote himself, without thought for his own advantage, to building our new Republic of Tanganyika".
Mzee Mwanakijiji.
Hiki kiapo, je Mwalimu alikivunja?
Aliapa kuitetea katiba ya Tanganyika na jamhuri ya Tanganyika.
Iko wapi Tanganyika leo? Ipo wapi katiba ya Tanganyika?
Hata kulibakisha jina la Tanganyika(territory ya Tanganyika) hakulibakisha badala yake ameiita Tanzania bara.
Mambo ya Tanganyika aka Tanzania bara yanaongozwa na katiba ipi?
Hivi kweli Mwalimu aliishi na kukitumikia kiapo hiki ulichokiweka hapa?
Kama unaona ni nje ya mada, basi tutaitafutia sehemu yake siku zijazo.