Mkuu Mwanakijiji.
Muungano ni off-limit katika siasa za Tanzania?
Je Muungano wa Tanzania unatoa nafasi kwa nchi nyengine zinazotaka kujiunga nasi kuweza kufanya hivyo?
Kama muungano uliundwa kwa nini usiweze kuvunjwa vilevile?
Nani mwenye haki ya kuuvunja muungano?
Ili uvunjwe hatua zipi inapasa zichukuliwe?
Mikataba ya kimataifa huwa na exit- clause... je huu Muungano wetu hauna kipengele hiki? Kama hauna huoni ni mapunguvu makubwa hayo?
Je huu Muungano wa Tanzania utakuwa muungano wa kwanza duniani kuvunjika? Mbona miungano mengine ilikuwepo na imevunjika?
Senegambia ni mmoja wapo!
Hata nchi moja inagawanyika...mfano Sudan..sasa zipo Sudan mbili.
Kama sheria ya usajili wa vyama hairuhusu chama kupinga muungano au kutaka kuvunja muungano.
Ni njia ipi itumike kuvunja Muungano...ipiganwe vita kama Sudan? au maandamano ya wananchi (uprising)?
Kwa nini iwe marufuku kuujadili muungano wa Tanzania? Na wanaoleta mjadala wa Muungano waonekane wamepotoka?
Katiba yenyewe " bomu"..ni katiba ya mfumo wa chama kimoja,chama cha magamba.
Tushukuru kuwa wananchi wameonesha ustahamilivu wa hali ya juu na siasa za mazingaombwe za Tanzania. Tumeona katika nchi nyengine ni vita tu.
Tukumbuke hakuna marefu yasiyo na ncha! Mtanzania zilizokuwa zimelala zinaanza kuamka kidogo kidogo!
mwanzoni watu wamezungumzia kero za Muungano ambazo hazitatuliwi na wala hazitatuki...sasa Muungano wenyewe ndio umekuwa kero.
Nyumba yenye nyufa nyingi iko siku itabomoka tu. Muungano wenye faida kwa pande zote ungekuwa na malalamiko machache. Huu wa kwetu malalamiko yanazidi kila jua linapochomoza na chuki inajengeka katika jamii.
Muungano ni off-limit katika siasa za Tanzania?
Je Muungano wa Tanzania unatoa nafasi kwa nchi nyengine zinazotaka kujiunga nasi kuweza kufanya hivyo?
Kama muungano uliundwa kwa nini usiweze kuvunjwa vilevile?
Nani mwenye haki ya kuuvunja muungano?
Ili uvunjwe hatua zipi inapasa zichukuliwe?
Mikataba ya kimataifa huwa na exit- clause... je huu Muungano wetu hauna kipengele hiki? Kama hauna huoni ni mapunguvu makubwa hayo?
Je huu Muungano wa Tanzania utakuwa muungano wa kwanza duniani kuvunjika? Mbona miungano mengine ilikuwepo na imevunjika?
Senegambia ni mmoja wapo!
Hata nchi moja inagawanyika...mfano Sudan..sasa zipo Sudan mbili.
Kama sheria ya usajili wa vyama hairuhusu chama kupinga muungano au kutaka kuvunja muungano.
Ni njia ipi itumike kuvunja Muungano...ipiganwe vita kama Sudan? au maandamano ya wananchi (uprising)?
Kwa nini iwe marufuku kuujadili muungano wa Tanzania? Na wanaoleta mjadala wa Muungano waonekane wamepotoka?
Katiba yenyewe " bomu"..ni katiba ya mfumo wa chama kimoja,chama cha magamba.
Tushukuru kuwa wananchi wameonesha ustahamilivu wa hali ya juu na siasa za mazingaombwe za Tanzania. Tumeona katika nchi nyengine ni vita tu.
Tukumbuke hakuna marefu yasiyo na ncha! Mtanzania zilizokuwa zimelala zinaanza kuamka kidogo kidogo!
mwanzoni watu wamezungumzia kero za Muungano ambazo hazitatuliwi na wala hazitatuki...sasa Muungano wenyewe ndio umekuwa kero.
Nyumba yenye nyufa nyingi iko siku itabomoka tu. Muungano wenye faida kwa pande zote ungekuwa na malalamiko machache. Huu wa kwetu malalamiko yanazidi kila jua linapochomoza na chuki inajengeka katika jamii.