Wanaotaka kuanza kusoma CPA, karibuni tushauriane

Aisee ahsante sana kwa kushare na sisi hili, CPA si mchezo mimi nimeanzia foundation balaa lake + kazini +majukumu mengine🤔
 
Hello, hiyo exemption wamekupa kwasbb ulisoma degree ya banking au? So unatarajia kufanya mtihani nov?

Ni mitihani ya masomo gani ambayo utafanya?
Hi mkuu! Ndiyo nimepewa exemption ya 4 out of 6 subjects sababu nilisoma Banking kidogo kuna masomo tulisoma kabisa, ila natakiwa kufanya 2 subjests Cost Accounting na Financial Accounting(A3 and A4). Ntafanya Nov.

Exemptions wanaangalia kama kuna masomo mlisoma chuo nk.
 
All the best kwa watahiniwa wote mnaoanza mitihani next week, Mungu akawe pamoja nasi, tukutane Bunju
Ameen!dogo inabidi tuongee kwa kina, umenishawishi kitu!

Since last week nawaza kusoma hii kitu from nowhere nakutana na thread yako! Nilikua na maswali nkawa nakosa wa kunijibia hapa nimejibiwa!

All the best ktk mitihani yako!
 
Ameen!dogo inabidi tuongee kwa kina...umenishawishi kitu!
Since last week nawaza kusoma hii kitu from nowhere nakutana na thread yako!
Nilikua na maswali nkawa nakosa wa kunijibia hapa nimejibiwa!
All the best ktk mitihani yako!
Am happy kama hii thread imekusaidia dear, karibu kama utakua na maswali zaidi ama chochote. Kiukweli CPA ni muhimu mimi nimezidi kupata uelewa wa hata kazini nnachokifanya kupitia masomo yake, na hapo ni foundation tu, je nikifika final si ntakua competent zaidi. Lazima nije kuwa na Audit firm yangu😂

Na Kuanza kusoma hainaga kuchelewa at anytime unaanza na kumaliza ni utakapoamua kufaulu mitihani yote. Na kama ukifeli una nafasi ya kurudia hadi ufaulu hainaga kudisco kama chuo😜
 
Nimefanya mitihani kuanzia foundation 6subjects, nikafauli, shida Iko kwenye intermidiate, somo la B5 ndo nimebakiza, ila nov.2021 nilifanya ngoja tuone matokeo.

Kuna mudau hapo juu ameshauli vzuri, hakuna muda wa kupoteza Eti kusoma Hadi matokeo yatoke, hapo ni kuanzia tu mapema Ili kujipa muda wa kutosha kujiandaa.

Asante mwanzisha Uzi na wachangiaji wote.
 
Vipi lakini pepa zao?!!maana naskia balaa na nusu nataka nianze foundation next year if God wish!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…