ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,655
- 44,985
Odd 500 unazijua vzr wewe?Mpe madrid mpe asemo mpe liver mpe mancity yaan we wape unapata Odd 500 unatia k30 lako tayari m10 hz hapa swaa
Odd 500 unazijua vzr wewe?Mpe madrid mpe asemo mpe liver mpe mancity yaan we wape unapata Odd 500 unatia k30 lako tayari m10 hz hapa swaa
Hili ndio jibu. Lipigiwe mstari na kuwa boldedAtakuwa ni crypto scammer
Wapo sana nchi masikini
Ukiangalia scambait videos youtube utaona
we lindege jonh tulia si kahoji jamaa zake wanafanya nn kwenye hzo pc ndio tunamuelekeza mana yeye kashinda kuwauliza hao jamaa zake kwani kuna ubayaOdd 500 unazijua vzr wewe?
Ngoja niingie darasani nikomae na hiyo crypto currencyHawahitaji kuwa na degree za ICT, hayo mambo hayahusiani na ict, ni kujua kutumia pc tu kawaida.
blogger anapost habari, videos, miziki, n.k. kama tunavyofanya humu jf ila yeye anakuwa na blog yake analipwa na google kwa kuwaruhusu waonyeshe matangazo kwenye blog yake ili wanaotembelea blog wayaone,
huyo crypto currency ananunua mfano bircoins nyingi kwa bei rahisi anauza kwa mafungu madogo madogo kwa bei ya juu
Wengine wanafanya youtube ni kama blog wanalipwa na google kwa kuwaruhusu waonyeshe matangazo kwenye video zao ili wanaotazama video wayaone, mfani mwezi mzima watu milioni 1 wakicheki video za mwenye channel, analipwa taktibani milioni 1 (inaweza kuzidi au kupungua kulingana na natangazo yanayoonekana na nchi wanazotokea watazamaji )
Nigeria wanawaita yahoo boys, kazi yao ni kutapeli vizee vya kizungu.Nina washikaji zangu ambao sipo karibu nao saana kiasi Cha kwamba hawawezi kuniambia mishe zao, mmoja tulisoma name o-level alifeli form two akaacha shule, yeye kapanga nyumba nzima hapo buhongwa-Mwanza, Kazi yake aieleweki anashinda ndani kwenye computer kuanzia asubuhi mpaka jionii, labda jioni ndio anatoka kwenda kujipumzisha, nikajaribu kumchombeza nimuulize aniambie labda anamchongo gani? Nikamuuliza kuhusu freelencer, sijui Upwork vyote hivyo havijui ila alichonambia TU ni kwamba anauza coin/Bitcoin Kuna site anaenda kununua kwa bei rahisi then na yeye anaziuza kwa Bei ya juu, ni kama wakala tu, sijui ndio mambo ya cryptocurrency kidogo nikaanza kumuelewa, lakini Sasa maendeleo yake ni ya kutisha amenunua gari x-trail kanunua kiwanja million 12 mpaka nimeshangaa wakuu.
Mwingine yupo naye elimu yake ya form four tu lakini alinambia ana blog /website ya mziki lakini anaingiza pesa kubwa sana anajenga.
Nimeshindwa kuelewa kitu kimoja, wote hao hawana background yoyote ya mambo ya ICT, Lakini inaonekana wanachokifanya kinawalipa.
Je unahisi wanafanya kazi gani? Ili nasisi tujiongeze huko tupate hata laki mbili kwa mwezi. Najua JF Ni kisima Cha maarifa hatuwezi kubaniana nondo kama hizi.
Ngoja nikutumie inbox mkuu, ili uipitie kwa utaratibu...Mkuu ningependa zaidi ukanipa nondo sijui nafanyaje, hapo nadepossit vipi inakuaje, nanunua wapi na kuuza wapi?
Kumbuka pia kuna hasara sio rahisi kama unavyofikiria, haya mambo yanahitaji uzoefu kama ilivyo kwa biashara,Ngoja niingie darasani nikomae na hiyo crypto currency
Mkuu na mi naomba nitumieNgoja nikutumie inbox mkuu, ili uipitie kwa utaratibu...
Na utapeli pia ni.mwingi. kwa mfano hizi forex tena nyingi ni za wakenya.Kuna matapeli wa kuuza odds piaWatakuwa wanafanya forex au wana bet
Pamoja ✍️✍️Mkuu na mi naomba nitumie
io si l pesa microfinance hayo mamb ya crypto currency yanahudian vp hpo?Ngoja nikutumie inbox mkuu, ili uipitie kwa utaratibu...
Software engineer ana solve vipi matatizo ya printer?Software engineering hiyo, Wanaishiaga kujisifia kuwa wamesoma mara UDSM, IFM au IAA Arusha ila ukija katika suala la kusolve matatizo katika PC, Printer na Device zingine utacheka
Ingekuwa ni simple kihivyo basi vijana wote wangekuwa huko wanapiga pesa online..
Yaani upate tu kazi ya Ufreelancer na ukichwa mbuzi wako utoboe kirahisi?
Kuna pesa za UNICEF kwani wewe bado hujapata?Nina washikaji zangu ambao sipo karibu nao saana kiasi Cha kwamba hawawezi kuniambia mishe zao, mmoja tulisoma name o-level alifeli form two akaacha shule, yeye kapanga nyumba nzima hapo buhongwa-Mwanza, Kazi yake aieleweki anashinda ndani kwenye computer kuanzia asubuhi mpaka jionii, labda jioni ndio anatoka kwenda kujipumzisha, nikajaribu kumchombeza nimuulize aniambie labda anamchongo gani?
Nikamuuliza kuhusu freelencer, sijui Upwork vyote hivyo havijui ila alichonambia TU ni kwamba anauza coin/Bitcoin Kuna site anaenda kununua kwa bei rahisi then na yeye anaziuza kwa Bei ya juu, ni kama wakala tu, sijui ndio mambo ya cryptocurrency kidogo nikaanza kumuelewa, lakini Sasa maendeleo yake ni ya kutisha amenunua gari x-trail kanunua kiwanja million 12 mpaka nimeshangaa wakuu.
Mwingine yupo naye elimu yake ya form four tu lakini alinambia ana blog /website ya mziki lakini anaingiza pesa kubwa sana anajenga.
Nimeshindwa kuelewa kitu kimoja, wote hao hawana background yoyote ya mambo ya ICT, Lakini inaonekana wanachokifanya kinawalipa.
Je unahisi wanafanya kazi gani? Ili nasisi tujiongeze huko tupate hata laki mbili kwa mwezi. Najua JF Ni kisima Cha maarifa hatuwezi kubaniana nondo kama hizi.
Ngoja waje watupe majibuNina washikaji zangu ambao sipo karibu nao saana kiasi Cha kwamba hawawezi kuniambia mishe zao, mmoja tulisoma name o-level alifeli form two akaacha shule, yeye kapanga nyumba nzima hapo buhongwa-Mwanza, Kazi yake aieleweki anashinda ndani kwenye computer kuanzia asubuhi mpaka jionii, labda jioni ndio anatoka kwenda kujipumzisha, nikajaribu kumchombeza nimuulize aniambie labda anamchongo gani?
Nikamuuliza kuhusu freelencer, sijui Upwork vyote hivyo havijui ila alichonambia TU ni kwamba anauza coin/Bitcoin Kuna site anaenda kununua kwa bei rahisi then na yeye anaziuza kwa Bei ya juu, ni kama wakala tu, sijui ndio mambo ya cryptocurrency kidogo nikaanza kumuelewa, lakini Sasa maendeleo yake ni ya kutisha amenunua gari x-trail kanunua kiwanja million 12 mpaka nimeshangaa wakuu.
Mwingine yupo naye elimu yake ya form four tu lakini alinambia ana blog /website ya mziki lakini anaingiza pesa kubwa sana anajenga.
Nimeshindwa kuelewa kitu kimoja, wote hao hawana background yoyote ya mambo ya ICT, Lakini inaonekana wanachokifanya kinawalipa.
Je unahisi wanafanya kazi gani? Ili nasisi tujiongeze huko tupate hata laki mbili kwa mwezi. Najua JF Ni kisima Cha maarifa hatuwezi kubaniana nondo kama hizi.
Zile ni utapeliKuna pesa za UNICEF kwani wewe bado hujapata?