Miiku
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 3,835
- 2,650
nadhani huyo ni top manyota topKuna yule nani sijui wa Makongolisi Chunya, ni hobby kama hobbies nyingine.
nadhani huyo ni top manyota topKuna yule nani sijui wa Makongolisi Chunya, ni hobby kama hobbies nyingine.
Hiyo ni hobby tu ya mtu, ni kama mtu asiyekosa kuangalia mechi za ligi, asiyekosa kanisani, asiyekosa viti virefu n.k. Suala la wanapata wapi hela na muda pengine sio la muhimu na hupaswi kuumiza kichwa kwa hilo, kwani wanaosikiliza redio wanapata wapi muda? kuna watu wana biashara zao binafsi na wana acess ya vyombo vya habari muda wote, wako huru na si kama wale walioajiriwa."Wanapata wapi muda na pesa?" Nijambo ambalo nimekuwa nikijiuliza tokea nikiwa mdogo.
Kuna watu walikuwa vinara wa kupiga simu redioni, leo wengine wamepotea, wengine wamepunguza, watu kama Suzzy Ngodoki, Pagija wa Pagija, Mwili Obale, n.k
Leo wameibuka wengine wanapiga simu kuchangia mada kila redio, utawasikia Clouds kila kipindi, RFA, Redio one, E fm.
Najiuliza hawa watu wanafanya kazi gani? Huu muda wanautoa wapi wakushinda wakitoa maoni redioni? Je, ni ushamba au ni ujanja?
Maoni kutolewa na watu wale wale kila siku, redio hazioni kuna dalili ya kufeli? Wengi wao hutoa maoni mepesi sana, unaweza dhani wanafanya mradi siku isipite bila kuchangia maoni redioni.
Wewe una mtazamo gani? Nani umemzoea kumsikia?
Edward kabamba,na mwingine waziri wa njaa na mipango ya gafla(huyu alikua na jina reeefu afu ndo anamalizia na hayo maneno[emoji23] eti waziri wa njaa na mipango ya gafla)
Lakini anaweza kushindia JF na mitandao mingine ya kijamii? nyani haoni kundule!!!!!!Ni ushamba tu na kukosa kazi za kufanya,mtu serious hawezi kupigapiga cm redioni!
Kushinda kwenye mitandao ya kijamii full time,inakua haina tofauti na anaepiga cm!Lakini anaweza kushindia JF na mitandao mingine ya kijamii? nyani haoni kundule!!!!!!
Atakua Lawena NsondaKuna yule nani sijui wa Makongolisi Chunya, ni hobby kama hobbies nyingine.
PoleMtoa uzi unachekesha kweli,unafikiri wewe ungekuwa huna muda wa kuwafatilia ungejuaje sasa kama wanapiga simu kila siku?hebu kuwa busy kwanza wewe kisha ulete mrejesho kama bado wanaendeleza tabia yao
Jipe mwenyewe hiyo pole maana mm hata sijui kama kuna watu hupiga simu redioni kila sikuPole
kila mtu na starehe yake, wewe kama unapenda hiki na yule anapenda kile, na huyu hiki. Ni ulevi wao na starehe zao,mbona hujauliza walevi wanatoa wapi hela za kunywa bia kila siku?"Wanapata wapi muda na pesa?" Nijambo ambalo nimekuwa nikijiuliza tokea nikiwa mdogo.
Kuna watu walikuwa vinara wa kupiga simu redioni, leo wengine wamepotea, wengine wamepunguza, watu kama Suzzy Ngodoki, Pagija wa Pagija, Mwili Obale, n.k
Leo wameibuka wengine wanapiga simu kuchangia mada kila redio, utawasikia Clouds kila kipindi, RFA, Redio one, E fm.
Najiuliza hawa watu wanafanya kazi gani? Huu muda wanautoa wapi wakushinda wakitoa maoni redioni? Je, ni ushamba au ni ujanja?
Maoni kutolewa na watu wale wale kila siku, redio hazioni kuna dalili ya kufeli? Wengi wao hutoa maoni mepesi sana, unaweza dhani wanafanya mradi siku isipite bila kuchangia maoni redioni.
Wewe una mtazamo gani? Nani umemzoea kumsikia?
Baba mzazi babaaaaaaa, Eeeeeh jamaaniiii.BABA MZAZI Lawena Nsonda... halafu huwa anamalizia na Kibwagizo chake cha "Eeeeeh jamaniiii... "
Nimewahi fika kwake huyu yupo vizuri Ana miradi take fresh kabisa.