masanja90
Senior Member
- Mar 1, 2018
- 115
- 116
Lawona Nsonda.... Makongorosi Chunya... Sawaa baabaaDah! Huyu si anatoaga mpaja misaada? Nimemsahau jina.
Lawona Nsonda.... Makongorosi Chunya... Sawaa baabaaDah! Huyu si anatoaga mpaja misaada? Nimemsahau jina.
Hivi huyo Fundi hamisi huwa anashona nguo muda gani? Maana anakesha kwenye maredio, cherehani yake itapata kutu.Huyu fundi Hamis hata RFA yupo
Haahahaha! Anaitwa baba mzaziKuna yule nani sijui wa Makongolisi Chunya, ni hobby kama hobbies nyingine.
Haahahaha aiseeeMzee unaona mate mpaka kwenye redio?
LawenaLawona Nsonda.... Makongorosi Chunya... Sawaa baabaa
Hydom moja!Edward kabamba Edward kabamba hahah
Fund hamis full migebuka ndo mkaliKuna hawa:
1. Fundi Hamis Full Migebuka
2. Sjiu Derva bajaji Masasi
3. Juma Dea..
Hawa kila kipindi clouds wamo
[emoji12] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hivi huyo Fundi hamisi huwa anashona nguo muda gani? Maana anakesha kwenye maredio, cherehani yake itapata kutu.
Haha umekosea ni muhiri wa bhare yaan rafiki wa wengiMwili obare naaaaaaaaaaaaamm
Lawena NsodaBaba mzazi baba
[emoji23] atakua ana mafundi wanamshoneaHivi huyo Fundi hamisi huwa anashona nguo muda gani? Maana anakesha kwenye maredio, cherehani yake itapata kutu.
Aiseee hata mm cjui Ila n kamaHivi wao wanakamataje laini mbona wengine hawapati?
hahahaaa huyo namfaham sana aiseeeKuna yule nani sijui wa Makongolisi Chunya, ni hobby kama hobbies nyingine.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hadi mate yanamtokaMatola ndo anawafahamu vizuri magwiji wa kupiga simu kwenye hizi radio.
Halafu hata kwenye kusalimiana wanasalimiana wenyewe kwa wenyewe.
Kuna jamaa mmoja huwa anapiga simu kwenye kipindi kinachoongozwa na somebody Mbogo, huyu jamaa akiwa anatoa hoja zake hadi mate huwa yanamtoka nadhani. Na hakosi kila nikisikiliza hiko kipindi.