Wanaoongoza kuliwa, wanaoongoza kula JF...!

Done!
 
Nampata wapi wakati wajukuu wote wananikwepa babu yao kisa umri

Eti hawawezi kazi ya kuvumilia pambano la sekunde 29 πŸ€ͺ
Siamini,siwezi kuamini,na sitaki kuaminiπŸ˜‚
 
Siamini,siwezi kuamini,na sitaki kuaminiπŸ˜‚
Kweli tena, niliambiwa hakuna mjukuu ataweza kazi ya kuimba na maiki masaa 5 kuamsha kitu hakiamki hata akikesha anaimba tu πŸ€ͺ🀭
 
Kweli tena, niliambiwa hakuna mjukuu ataweza kazi ya kuimba na maiki masaa 5 kuamsha kitu hakiamki hata akikesha anaimba tu πŸ€ͺ🀭
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚,nyau weeeh, wapo wengi humu,nawaona.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚,nyau weeeh, wapo wengi humu,nawaona.
Wako wapi hao, labda babu yenu sina bahati

Yaani kweli Mimi wa kutegemea joto la hizi Kiko nivutazo wakati kuna wajukuu humu πŸ€ͺ

Kuweni na huruma na Wazee 🀭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…