nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,398
Unauliza kwa nini wakati ni nature?
But again do you real care? What if they are all girls? si bora wawe wajinga kama mama yao ili waolewe...
But again do you real care? What if they are all girls? si bora wawe wajinga kama mama yao ili waolewe...
sio kweli kabisa kwa nini asirithi akili ya baba ?
labda nikutajie sababu kwa nini nitaoa golikipa
1: Nitakapomuhitaji nitampata kwa wakati wowote kwa vyovyote unavyofikiria wewe
2: Kuchelewa nyumbani kwake lazima kuwe na sababu hata kutoka tu nyumbani mpaka niwe na taarifa
3: Malezi ya watoto kwa asilimia kubwa nitakuwa nina uhakika wa usalama wa wanangu kwanzia malezi hadi chakula tofauti na beki 3
4: Chakula nitapikiwa na mke wangu tu ndio sababu ya kuukacha ubachela
5: Visingizio vya simu vya mara kwa mara hakuna oo mara bosi kapiga oo nimeitwa kazini sitaki mke wangu mali yangu
6: Heshima ipo baadhi ya wanawake wakipata kadegree ni kuanza kutukana wanaume hata wasio wajua kama huyo shosti wako
7: Majukumu ya kifedha yote yatakuwa juu yangu hivyo nitakuwa sipigii mahesabu hela kutoka kwa mke wangu. Maana baadhi yenu hela zenu mnawekeza kwenu badala ya kwako