MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,553
- 41,467
Hapo kwenye bold jibu ni YES...maana hiyo ndio definition ya love kwa Watanzania...mkiona watu wanapendana mnakimbilia kwenye conclusion ya limbwata...
Hata humu jamvini wengi wanalalamika wanawake wenye kazi zao wanawapata maryoo
wanalalamika wanapata foreigners
ukiona mume ameinamisha kichwa ujue mke ndio mwenye kipato kikubwa jamaa anaishi kwa kuunga unga