Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

ndio nyie type ya.wale wanaume katika familia baba akifariki basi watoto wote wanaishia kuharibika maana mama hawezi kuwasupport kwenye chochote alikua anamtegemea baba.Maisha hayo yalishapitwa na wakati tuko karne mpya labda niwakumbushe.Wanaume wenyewe mmejaa maradhi mkifa hizo familia zenu mnamuachia nani azitunze wakati hata hamjui kuwekeza kwenye miradi mbalimbali.

wewe umekimbilia kwenye dini umeshindwa
hivi ni jukumu la kutunza ni la watoto au la wazazi ?
vitabu vya dini vinasema mzazi aandae urithi hadi wa wajukuu zake sasa wewe unaongelea dini ipi ?
ukiolewa nyumbani ni kwenda kisalimia tu kuhudumia sio lazima
 
mbona hata nyie wanaume siku hizi.mavyuoni mnagawa nyuma?

hapa ndipo mwisho wako wa kufikiri??
ukishagawa nyuma utaoa au utaolewa ?
kwa hiyo umehalalisha mileage za chuo hadi ofisini ?
 
bado mabosi wafanyakazi wenzie
bora wabaki michepuko tu
mwanamke yeyote anayewaza kuwekeza kwao si mke kabisa na hafai kuwa mke,huyu celex kajitetea sana kwa points kibao ila nimeona ni wale wale,kweli hakuna wanawake wa degree wanaofaa kuwa wake
 
Last edited by a moderator:
nilikuona una msimamo ila kwa hiyo sentensi nimegundua wewe wale wale,Mungu tuepushe na aina ya hawa wanawake

acha kujidanganya eti ambao hawajasoma hawasaidii kwao.Mke hata kama hajasoma atajitahidi aibe hata vipesa vya matumizi asaidie kwao hakuna mwanamke atakayekubali kuona ndugu zake wapate tabu eti kisa kaolewa.
 
mwanamke yeyote anayewaza kuwekeza kwao si mke kabisa na hafai kuwa mke,huyu celex kajitetea sana kwa points kibao ila nimeona ni wale wale,kweli hakuna wanawake wa degree wanaofaa kuwa wake

kabisa ni walewale hivi kama mwanamke anatukana hata watu asiowajua ni hatari oo mashoga. sasa mashoga wana togauti gani na wanawake ?
 
Last edited by a moderator:
acha kujidanganya eti ambao hawajasoma hawasaidii kwao.Mke hata kama hajasoma atajitahidi aibe hata vipesa vya matumizi asaidie kwao hakuna mwanamke atakayekubali kuona ndugu zake wapate tabu eti kisa kaolewa.
umekuja nikuoe ili usaidie kwenu?na unasema kwa makusudi kabisa,hiyo ya kusaidiana wazazi huwa ni maelewano ya ndani,hufai kuwa mke na hujafaa kuolewa
 
wewe umekimbilia kwenye dini umeshindwa
hivi ni jukumu la kutunza ni la watoto au la wazazi ?
vitabu vya dini vinasema mzazi aandae urithi hadi wa wajukuu zake sasa wewe unaongelea dini ipi ?
ukiolewa nyumbani ni kwenda kisalimia tu kuhudumia sio lazima

naona dini zetu zimeshapishana.
 
mwanamke ni ubavu wa mwanaume fullstop. wewe kata ubavu wako uone........
 
kabisa ni walewale hivi kama mwanamke anatukana hata watu asiowajua ni hatari oo mashoga. sasa mashoga wana togauti gani na wanawake ?
unganisha dots tuje kuweka conclusion mkuu
 
acha kujidanganya eti ambao hawajasoma hawasaidii kwao.Mke hata kama hajasoma atajitahidi aibe hata vipesa vya matumizi asaidie kwao hakuna mwanamke atakayekubali kuona ndugu zake wapate tabu eti kisa kaolewa.

sio aibe atapunguza matumizi tofauti na wote tunafanya kazi halafu hela haionekani.
Kwa nini unasimamia kwenye wazazi ?
kulea watoto jukumu hasa la nani ?
kupika chakula na kuandaa ?
Usimamizi wa nyumba ni wa nani ?
 
umekuja nikuoe ili usaidie kwenu?na unasema kwa makusudi kabisa,hiyo ya kusaidiana wazazi huwa ni maelewano ya ndani,hufai kuwa mke na hujafaa kuolewa

inavyoonekana tuna mitazamo tofauti na kila mtu anaona mtazamo wake ni sahihi.Kwaheri.
 
Unaambiwa mtoto urithi akili ya mama yake...sasa hao wanaotaka std 7 wameshaamua aina ya familia wanayotaka kujenga...

Nimegundua wanaume wengi tunaogopa kuwa challenged ni kweli sisi ni vichwa lakini hiyo haifanyi wanawake wasitoe mawazo yao wengi wanaogopa kukosolewa utadhani wao ni miungu au malaika wenye elimu ndo wazuri
 
inavyoonekana tuna mitazamo tofauti na kila mtu anaona mtazamo wake ni sahihi.Kwaheri.
usikimbie hoja utaonekana mdhaifu,umeenda kuolewa ili ujenge kwenu?
 
naona dini zetu zimeshapishana.

kwa hiyo mathayo 19:6 inasemaje au ndio kupishana ?
unakumbuka mwanampotevu alipewa urithi na wazazi wake.
Mzazi ndio wa kuandaa urithi sio kulelewa na mtoto
 
Unaambiwa mtoto urithi akili ya mama yake...sasa hao wanaotaka std 7 wameshaamua aina ya familia wanayotaka kujenga...

sio kweli kabisa kwa nini asirithi akili ya baba ?

labda nikutajie sababu kwa nini nitaoa golikipa

1: Nitakapomuhitaji nitampata kwa wakati wowote kwa vyovyote unavyofikiria wewe

2: Kuchelewa nyumbani kwake lazima kuwe na sababu hata kutoka tu nyumbani mpaka niwe na taarifa

3: Malezi ya watoto kwa asilimia kubwa nitakuwa nina uhakika wa usalama wa wanangu kwanzia malezi hadi chakula tofauti na beki 3

4: Chakula nitapikiwa na mke wangu tu ndio sababu ya kuukacha ubachela

5: Visingizio vya simu vya mara kwa mara hakuna oo mara bosi kapiga oo nimeitwa kazini sitaki mke wangu mali yangu

6: Heshima ipo baadhi ya wanawake wakipata kadegree ni kuanza kutukana wanaume hata wasio wajua kama huyo shosti wako

7: Majukumu ya kifedha yote yatakuwa juu yangu hivyo nitakuwa sipigii mahesabu hela kutoka kwa mke wangu. Maana baadhi yenu hela zenu mnawekeza kwenu badala ya kwako
 
Unaambiwa mtoto urithi akili ya mama yake...sasa hao wanaotaka std 7 wameshaamua aina ya familia wanayotaka kujenga...
nyumba kubwa we ni mhaya,i'm sorry nimeunganisha kwa dots,hata isingekuwa hivo,wanawake wenye elimu hata kama wametoka sitimbi lazima wawe pasua kichw,je kwa wahaya ambao bila kujivuna na kiburi je mwanaume ambaye hawajui atakuwa na uvumilivu gani?.......mwanake ukitaka familia bora na umesoma sana inamisha kichwa jinyenyekeze
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom