Wanaomtetea Prof. Muhongo, jibuni maswali haya

Wanaomtetea Prof. Muhongo, jibuni maswali haya

Sidhani kama umejibu bali umeuliza maswali zaidi!! Tusimtee Muhiongo sio malaika, pale amechemka jamani. kukubali kuwa kachemka haimuondolei hadhi yake ya kuwa Professa. Hizi mada nyingine ni ujinga tu sasa na kuchoshana.
Kachemka lakini siyo kiasi cha kumhukumu kihivyo. Kama siyo fitina za MENGI hakupaswa kunyoshewa hata kidole, alikuwa ameanza kufufua matumaini kwa Watanzania kupitia shirika lao la Umma
 
Majibu yanajitosheleza, tuwasubiri na propaganda zingine dhidi ya Waziri
Ninachompenda Waziri ni kwamba yupo mwazi sana. Anawapa za uso papo hapo. Kamwambia Mengi ni Dalali wa vitalu vya madini na gesi. Kwisha habari. Anabaki kuwa dalali hata kama atatumia vyombo vyote vya habari kumsafisha
 
Mwaka huu hatutawaacha hata mje na utetezi lukuki. lazima krimasi mkalie segerea
 
Ukitaka kueleweka punguza jazba na uelezee mafanikio ya waziri katika wizara kitakwimu.
Kuondoka kwa Prof Muhongo sio kwa sababu za perfomances ila ni ubadhirifu uliotokea wizarani akiwa waziri.
Naomba watanzania wenzangu tujifunze kuwa objective na kuacha ushabiki/upendeleo/uonevu kwa sababu zozote zile.
Mungu anaona na hamna baya/ovu lolote utakalolifanya ubaki salama. Anapatiliza kizazi hadi cha nne. Usifurahie ovu hata siku moja huko ni kutafuta laana na machungu hivyo amua lililo haki kuepuka mabaya kwako na kwa kizazi chako baadaye.


Shame article,unatumia vyombo vyako vya habari kusambaza ujinga. Na wewe jibu maswali haya:-


1. Hasara ya mabilioni umeyaona kwa Tanesco. Ok je Tanesco ilikuwa na mapato kiasi gani huko nyuma? Ainisha na miaka kama ulivyoainisha hasara.

2. waliopata umeme toka Muhongo hajawa madarakani mpaka amekuwa waziri wa wizara hiyo ni wangapi? Tanesco miaka yote ilikuwa inaenda kwa hasara kwa wateja kidogo walionao,sasa kwa miaka hiyo uliyoitaja ya hasara kama wateja wameongezeka ulitegemea hasara itapungua itazidi? Kama kipindi cha Muhongo hakukuwa na mgao unategemea nini si lazima hasara iongezeke maana huduma inapatikana kwa wingi na hasara lazima iongezeke tu,kwani toka mwanzo wakiwa na wateja kidogo ni hasara,tuchukulie wakati wa mgao tanesco ilikuwa inanunua lita 100 za mafuta na wakati hakuna mgao inabidi wanunue mafuta lita 1000 hapa unategemea nini? Kwa nini hasara isiongezeke,tukumbuke hapa shirika haliendeshwi kibiashara



3.Mikataba ya migodi imepitiwa msipotoshe watu,ila tunataka maboresho zaidi na udhibiti zaidi. Tukumbuke Nyerere alipotaifisha mali za watu alitaifisha za wazawa pia,maana aliamini bepari ni bepari tu awe mzungu,mswahili au mhindi,kwa hiyo tusichukulie kuwa mzawa una haki zote kumiliki wewe na ndugu zako migodi ya geita na kufanya unavyotaka. Tanesco na wizara hizo Muhongo kazikuta za hovyo hivyo basi kipindi hicho kifupi kafanya mageuzi mengi tu na hawezi kumaliza mambo yote kwa mara moja.


4. Umeme unakatikakatika mara kwa mara,ok. Ni sawa na mgao uliokuwepo? Na ukatikaji wa mara kwa mara ni hujuma mlizokuwa mnamfanyia kwa kushirikiana na makampuni mengine ya umeme ili ashindwe kutekeleza azma yake ya mgao ubaki historia tu.


5. Ni lini au ni waziri yupi aliyeshika wizara hiyo na kuwadhibiti Tanesco kama Waziri Muhongo? Imefika Tanesco wanakupigia simu saa Fulani tunakuja kuweka umeme nyumbani kwako,toka uhuru imewahi kutokea? Waziri Muhongo kakata mirija Tanesco hivyo maadui walikuwa wengi tu na sasa kila mfanyakazi Tanesco meno njia wanajua ulaji umerudi. Na katika mirija aliyoikata ipo pia kina Zitto na Mkono waliokuwa wakishirikiana na Mkurugenzi wa zamani wa Tanesco kwenye ulaji wa shirika hilo,je Muhongo atakuwa salama?


Mheshimiwa Muhongo unafaa hata kuwa Rais wan chi hii,maana nchi kwa sasa inataka mtu jeuri na dikteta na anayetoa amri na msimamo usioyumba. Kwa kazi hakuna waziri yeyote toka uhuru mpaka sasa aliyeimudu wizara kama wewe,ni siasa za chuki na ulaji ndio zilizokuchafua,ati wanakuita dalali, wamekosa cha kuwathibitishia umma kama ulipata mgao,mbona wengine wameweza kwa nini wewe washindwe? Siasa chafu tu hizo,mbona wamemsitiri kiongozi wa upinzani ili upinzani usiabike na kusambaratika na ndio gia anayoingilia Zitto sasa kutaka kurudi Chadema. Unafikiri watamkataa wakati kamfinika mkuu nguo?


KAMA HASARA YA TANESCO IMETOKANA NA KUTOKOSEKANA KWA MGAO HIYO SIYO HASARA NI FAIDA KUBWA

 
Shame article,unatumia vyombo vyako vya habari kusambaza ujinga. Na wewe jibu maswali haya:-


1. Hasara ya mabilioni umeyaona kwa Tanesco. Ok je Tanesco ilikuwa na mapato kiasi gani huko nyuma? Ainisha na miaka kama ulivyoainisha hasara.

2. waliopata umeme toka Muhongo hajawa madarakani mpaka amekuwa waziri wa wizara hiyo ni wangapi? Tanesco miaka yote ilikuwa inaenda kwa hasara kwa wateja kidogo walionao,sasa kwa miaka hiyo uliyoitaja ya hasara kama wateja wameongezeka ulitegemea hasara itapungua itazidi? Kama kipindi cha Muhongo hakukuwa na mgao unategemea nini si lazima hasara iongezeke maana huduma inapatikana kwa wingi na hasara lazima iongezeke tu,kwani toka mwanzo wakiwa na wateja kidogo ni hasara,tuchukulie wakati wa mgao tanesco ilikuwa inanunua lita 100 za mafuta na wakati hakuna mgao inabidi wanunue mafuta lita 1000 hapa unategemea nini? Kwa nini hasara isiongezeke,tukumbuke hapa shirika haliendeshwi kibiashara


3.Mikataba ya migodi imepitiwa msipotoshe watu,ila tunataka maboresho zaidi na udhibiti zaidi. Tukumbuke Nyerere alipotaifisha mali za watu alitaifisha za wazawa pia,maana aliamini bepari ni bepari tu awe mzungu,mswahili au mhindi,kwa hiyo tusichukulie kuwa mzawa una haki zote kumiliki wewe na ndugu zako migodi ya geita na kufanya unavyotaka. Tanesco na wizara hizo Muhongo kazikuta za hovyo hivyo basi kipindi hicho kifupi kafanya mageuzi mengi tu na hawezi kumaliza mambo yote kwa mara moja.


4. Umeme unakatikakatika mara kwa mara,ok. Ni sawa na mgao uliokuwepo? Na ukatikaji wa mara kwa mara ni hujuma mlizokuwa mnamfanyia kwa kushirikiana na makampuni mengine ya umeme ili ashindwe kutekeleza azma yake ya mgao ubaki historia tu.


5. Ni lini au ni waziri yupi aliyeshika wizara hiyo na kuwadhibiti Tanesco kama Waziri Muhongo? Imefika Tanesco wanakupigia simu saa Fulani tunakuja kuweka umeme nyumbani kwako,toka uhuru imewahi kutokea? Waziri Muhongo kakata mirija Tanesco hivyo maadui walikuwa wengi tu na sasa kila mfanyakazi Tanesco meno njia wanajua ulaji umerudi. Na katika mirija aliyoikata ipo pia kina Zitto na Mkono waliokuwa wakishirikiana na Mkurugenzi wa zamani wa Tanesco kwenye ulaji wa shirika hilo,je Muhongo atakuwa salama?


Mheshimiwa Muhongo unafaa hata kuwa Rais wan chi hii,maana nchi kwa sasa inataka mtu jeuri na dikteta na anayetoa amri na msimamo usioyumba. Kwa kazi hakuna waziri yeyote toka uhuru mpaka sasa aliyeimudu wizara kama wewe,ni siasa za chuki na ulaji ndio zilizokuchafua,ati wanakuita dalali, wamekosa cha kuwathibitishia umma kama ulipata mgao,mbona wengine wameweza kwa nini wewe washindwe? Siasa chafu tu hizo,mbona wamemsitiri kiongozi wa upinzani ili upinzani usiabike na kusambaratika na ndio gia anayoingilia Zitto sasa kutaka kurudi Chadema. Unafikiri watamkataa wakati kamfinika mkuu nguo?


KAMA HASARA YA TANESCO IMETOKANA NA KUTOKOSEKANA KWA MGAO HIYO SIYO HASARA NI FAIDA KUBWA

Asante mkuu umenisadia pale niliposahau kwenye mada yangu asubuhi. Waombe mods wasiunganishe uzi wako kama ambavyo walifanya kwangu asubuhi
 
Majibu yanajitosheleza, tuwasubiri na propaganda zingine dhidi ya Waziri

Hivi wewe na Ngoshani mnawashwa na nini? Utawezaje kuhusisha mafanikio ya TANESCO - Shirika linalojitegemea lenye CEO na watendaji wake na mwanasiasa tena uchwara kama Muhongo! Nilidhani ungezungumzia mafanikio au la ya sera za wizara ukayahusisha na Waziri Muhongo ningekuelewa. Lakini kama ni wewe au hao Nipashe wanahusisha mambo ya uendeshaji na wizara basi nyie wote mna matatizo makubwa. Na kama Muhongo ameingilia kazi za TANESCO basi kwa vyovyote vile hawezi akasamehewa. Yeye siye Mtendaji wa Tanesco- na kama alifanya hivyo ndio maana tumekuwa tukikosa umeme mara kadhaa na hayo matatizo ya mikataba ndiyo yanatuumiza.
 
Ukitaka kueleweka punguza jazba na uelezee mafanikio ya waziri katika wizara kitakwimu.
Kuondoka kwa Prof Muhongo sio kwa sababu za perfomances ila ni ubadhirifu uliotokea wizarani akiwa waziri.
Naomba watanzania wenzangu tujifunze kuwa objective na kuacha ushabiki/upendeleo/uonevu kwa sababu zozote zile.
Mungu anaona na hamna baya/ovu lolote utakalolifanya ubaki salama. Anapatiliza kizazi hadi cha nne. Usifurahie ovu hata siku moja huko ni kutafuta laana na machungu hivyo amua lililo haki kuepuka mabaya kwako na kwa kizazi chako baadaye.
Mbona kaeleza vizuri, naona wewe ndo unapanic mkuu, prof atatetewa na kila mpenda maendeleo ya wote na siyo maendeleo binafsi kama MENGI
 
Hivi wewe na Ngoshani mnawashwa na nini? Utawezaje kuhusisha mafanikio ya TANESCO - Shirika linalojitegemea lenye CEO na watendaji wake na mwanasiasa tena uchwara kama Muhongo! Nilidhani ungezungumzia mafanikio au la ya sera za wizara ukayahusisha na Waziri Muhongo ningekuelewa. Lakini kama ni wewe au hao Nipashe wanahusisha mambo ya uendeshaji na wizara basi nyie wote mna matatizo makubwa. Na kama Muhongo ameingilia kazi za TANESCO basi kwa vyovyote vile hawezi akasamehewa. Yeye siye Mtendaji wa Tanesco- na kama alifanya hivyo ndio maana tumekuwa tukikosa umeme mara kadhaa na hayo matatizo ya mikataba ndiyo yanatuumiza.
Mkuu acha kupanic, jibu kwa hoja matusi siyo dili kwenye mada kama hii.
 
Kuandaa mipango na kuandika kwenye makatatasi sio kazi, kazi ni kutoa kwenye makaratasi na kukamirisha uwe mradi kamili.
Wizara karibu zote zina mipango kwenye makaratasi ya miaka na miaka ila mawaziri wanakua na hofu kuianzisha.
Juzi tu mlitaka kumuandama magufuli eti barabara ya mabasi ya mwendo kasi ina upana wa 5m, lori tu lina upana wa 2.6m je mawili hayapishani pale?
 
Amakweli Zile laptop walizopewa washikaji wa kanda ya ziwa zishaanza kazi. Tusubiri tuone matokeo
 
WEWE ni kiroba tu,maana tunawajua mara nyingi hamna hoja zaidi ya matusi,kuna haja gani kutanguliza "mnawashwa?" mimi nimejibu gazeti la Nipashe lililoandika tujibu maswali yake. Tanesco inaongozwa na wizara ipi? acha matusi tunataka ujibu hoja?
 
Mengi anahangaika sana. Sasa amekuwa dalali wa akina Zitto kueleza madeni ya TANESCO

Unapomtetea mtu tumia objective arguments, hizi subjectivity ndio zinamfanya huyo mzee wenu mwongo azidi kuaibika. Nina uhakika kwa aina ya utetezi mnaotoa huyu mzee siku si nyingi anaingia segerea gerezani.

Huyu mzee kwa muda mfupi aliokaa amesababisha hasara kubwa zaidi kuwahi kutokea katika shirika, akiongezewa mwaka mmoja tu na hiyo management yake kama headless chicken shirika linazama kaburini. Huwezi kuendesha shirika kwa hasara kwa kisingizio chochote kile. Huyo mwongo wenu anatupia migao ya umeme siku hadi siku na hakuna tofauti na miaka iliyopita. Ahueni pekee Tanesco waliyopata recently ni kutokana na msaada from American people through MCC na Muhongo sio mwanzilishi wa MCC, msaada huo ulianza enzi za mwizi Ngeleja

Miaka yote tunajua Tanesco inefficiencies zinatokana na muundo wa shirika na kwamba linatakiwa kugawanywa but toka mwizi Muhongo ameingia hajafanya initiative yoyote zaidi ya kuwa dalali wa Singasinga
 
Hakuna maswali ya kujibu hapo. Ni porojo tu za mmiliki wa IPP

Hakuna hoja mkuu. Ni upuuzi tu uliojaa hapa

We nguruwe pori kiji gani hicho,kwani unadhani mpango ukianza vijiji vyote vinapata umeme siku moja mengi kawaharibu ndiyo basi tena.

Gazeti la mengi halafu tarifa inamhusu muhongo halafu mengi anamchukia muhongo sasa hapo unasubiri nini kupata jibu haraka.

Nipashe limeshakuwa gazeti la udaku.

Mengi anahangaika kama mtetea anayetaka kutaga

Endeleeni kujikomba kwa hao wezi Muhongo na team yake ili mjipatie mkate wa siku; watakaposhtuka kuwa ngoma wanayocheza ilishawadodea sio siri kuwa hata nyie mtalala njaa na vitegemezi vyenu...
 
Back
Top Bottom