Wanaomtetea Prof. Muhongo, jibuni maswali haya

Wanaomtetea Prof. Muhongo, jibuni maswali haya

Vijiji gani webpweza? Mbona vijiji vyetu watu wanatumia solar . Embu toeni ulafa wenu hapa. Hii pesa najua ni nyingi sana mliyoiiba na ndio maana mmeshapeana mgao huko mmekuja hapa JF
We nguruwe pori kiji gani hicho,kwani unadhani mpango ukianza vijiji vyote vinapata umeme siku moja mengi kawaharibu ndiyo basi tena.
 
Gazeti la mengi halafu tarifa inamhusu muhongo halafu mengi anamchukia muhongo sasa hapo unasubiri nini kupata jibu haraka.
 
We nguruwe pori kiji gani hicho,kwani unadhani mpango ukianza vijiji vyote vinapata umeme siku moja mengi kawaharibu ndiyo basi tena.

Yaani we mama tunajua kuwa Muhongo wewe ni nyumba ndogo yake ndo maana umekuwa msemaji mkuu baada ya kujibu
 
Vibaraka siwataki aje fisadi mengi mwenyewe nipe vyake hapa nyie wajinga wakupewa elfu kumi tu mnakuja kubadika migazeti ya mengi sinashida na nyie nataka fisadi mwenyewe aje.

eti haje tajiri...mtu mwenyewe unaishi nje ya mji boko tena, siku moja tu unabadilishwa jina.
 
Mwenye macho haambiwi tazama.

Hii issue yote ya Prof. Muhongo kunga'ang'aniwa kwenye hii issue ya ESCROW ni kutokana na Prof. Muhongo kuwabana mafisadi.
 
Hebu muulize kwanza mengi kazi aliyowapa wale wanasiasa imewashinda? Kama vyombo vyake navyo vikishindwa atatumia njia ipi ambayo ni mbadala.[/QUOT

]
WAFANYABIASHARA TYPE YA MENGI NI HATARI KWA USALAMA WA NCHI.ANATAKA KUNYENYEKEWA KWA SABABU TU ANA HELA??HZO HESHIMA AKAZIFUATE HUKO MACHAME.MSOMI,MWENYE AKILI NYINGI ,MUHONGO APELEKESHWE NA MTU ASIYEJUA HATA KUONGEA NA MALI ZAKE ZA MAUZAUZA, NEVER ON EARTH.
 
1) Hivi dalali hua hapati pesa, mbona yeye hajatajwa?
2) Mnashangaa kwa nini deni limeongezeka, mbona hamshangai kusambaa kwa nguzo nchi nzima au mlijua anatoa pesa mfukoni kwake?
Mkuu una uelewa wowote wa mradi wa MCC unaofadhiliwa na Marekani? Ungekuwa na uelewa wa huo mradi usingeandika hii pumba
 
Kumbe wale wanaodaiwa kuhongwa na Muongo wameshaanza kazi,huwezi kupingana na CAG,PCCB,PAC na Bunge.
Kwani huyu Mheshimiwa si ang'atuke tuu kinachomfanya ang'ang'anie ni nini?Kama yeye ni muadilifu atoke tuu kwani kuna nini anachong'ang'ania.Walikuwepo wangapi bhana na wameng'atuka.Hii ndio shida ya kula hela za watanzania,ameshanogewa sasa anaona mipango yake itaharibika.Nenda tu Mheshimiwa tunajua umefanya mazuri,lakini kwa hili doa huwezi kutakata hata kwa Jiki.Kapumzike.
 
Mkuu una uelewa wowote wa mradi wa MCC unaofadhiliwa na Marekani? Ungekuwa na uelewa wa huo mradi usingeandika hii pumba

achana na huyo mjita, vijana wanaofata mkumbo...mimi najua vizuri MCC 1 & 2 ilikuwa sasa lakini ni shideeeee.

maswali ni magumu sana, ila vijana ujibu mtu (mengi) badala ya facts ni shideee pia

Tusubiri majibu kutoka kwa watu makini.
 
Yaani we mama tunajua kuwa Muhongo wewe ni nyumba ndogo yake ndo maana umekuwa msemaji mkuu baada ya kujibu
Huyu mama side naye vipi mnona matusi,eti mama said mbona yanakutoka tu.
 
Mkuu una uelewa wowote wa mradi wa MCC unaofadhiliwa na Marekani? Ungekuwa na uelewa wa huo mradi usingeandika hii pumba
Huo mradi upo chini ya wizara gani na hiyo wizara inasimamiwa na nani?
 
Kumbe wale wanaodaiwa kuhongwa na Muongo wameshaanza kazi,huwezi kupingana na CAG,PCCB,PAC na Bunge.
Kwani huyu Mheshimiwa si ang'atuke tuu kinachomfanya ang'ang'anie ni nini?Kama yeye ni muadilifu atoke tuu kwani kuna nini anachong'ang'ania.Walikuwepo wangapi bhana na wameng'atuka.Hii ndio shida ya kula hela za watanzania,ameshanogewa sasa anaona mipango yake itaharibika.Nenda tu Mheshimiwa tunajua umefanya mazuri,lakini kwa hili doa huwezi kutakata hata kwa Jiki.Kapumzike.
Ujue mengi na vibaraka wake akili zenu ziko nusu kweli kaacha wenye makosa kamfuata muhongo ambaye hata kosa hana kweli mengi kapagawa mwaka huu muhongo noma kweli.
 
Mwenye macho haambiwi tazama.

Hii issue yote ya Prof. Muhongo kunga'ang'aniwa kwenye hii issue ya ESCROW ni kutokana na Prof. Muhongo kuwabana mafisadi.
Hakika mkuu huo ndiyo ukweli halisi japo ni ukweli mchungu kwa mafisadi.
 
Back
Top Bottom