Watu
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 3,231
- 1,472
Mjadala umeanza muda mrefu na hoja zimekuwa zikitolewa. Mpaka sasa sijaelewa kosa la Muhongo na Maswi katika sakata hili... naomba wenye kuelewa waeleze kwa kifupi na kwa hoja.
Ninavyofahamu wao waliomba ushauri kwa AG na AG akashauri alivyoshauri, na hata AG alisema alaumiwe yeye badala yao...
Kuvuta mzigo toka kwa singa singa....