Katiki Lamsala
Member
- Jun 11, 2008
- 73
- 43
kwa nchi za wenzetu, ukifanya mazuri 100 ukaboronga moja unahukumiwa na hilo hilo moja!
Kwenye nchi yenye watu zaidi ya mil 40 inakuwa ni kichekesho kumwona mtu ambae ameshachafuka kuwa bado anafaa kuongoza. Kwani kabla yake Wizara ilikuwa haina Waziri? Tuache unafiki, uteuzi wa kujuana na upuuzi wa kusema huyu tukimweka pale atatuzibia muone kama hamtampata Mtanzania mwindine anaefaa kushika hiyo Wizara. Kama ndani ya CCM wameisha, angalieni na vyama vya upinzani.
Hilo linawezekana kama walivyofanya Wakenya majuzi. Hii nchi ni yetu na hamna nafasi kutetea wezi na watu wanao ongea uongo mchana kweupee, Kwa uongo alioongea Bungeni alipokuwa anajitetea, hapaswi hata kurudi Chuoni kufundisha.
Nashauri uteuzi ufanyike mara moja ili topic hii iweze kufungwa la sivyo mnataka Watanzania wote tuonekane HATUNAZO! kwa nchi za wenzetu, ukifanya mazuri 100 ukaboronga moja unahukumiwa na hilo hilo moja!
Kwenye nchi yenye watu zaidi ya mil 40 inakuwa ni kichekesho kumwona mtu ambae ameshachafuka kuwa bado anafaa kuongoza. Kwani kabla yake Wizara ilikuwa haina Waziri? Tuache unafiki, uteuzi wa kujuana na upuuzi wa kusema huyu tukimweka pale atatuzibia muone kama hamtampata Mtanzania mwindine anaefaa kushika hiyo Wizara. Kama ndani ya CCM wameisha, angalieni na vyama vya upinzani.
Hilo linawezekana kama walivyofanya Wakenya majuzi. Hii nchi ni yetu na hamna nafasi kutetea wezi na watu wanao ongea uongo mchana kweupee, Kwa uongo alioongea Bungeni alipokuwa anajitetea, hapaswi hata kurudi Chuoni kufundisha.
Nashauri uteuzi ufanyike mara moja ili topic hii iweze kufungwa la sivyo mnataka Watanzania wote tuonekane HATUNAZO!
Kwenye nchi yenye watu zaidi ya mil 40 inakuwa ni kichekesho kumwona mtu ambae ameshachafuka kuwa bado anafaa kuongoza. Kwani kabla yake Wizara ilikuwa haina Waziri? Tuache unafiki, uteuzi wa kujuana na upuuzi wa kusema huyu tukimweka pale atatuzibia muone kama hamtampata Mtanzania mwindine anaefaa kushika hiyo Wizara. Kama ndani ya CCM wameisha, angalieni na vyama vya upinzani.
Hilo linawezekana kama walivyofanya Wakenya majuzi. Hii nchi ni yetu na hamna nafasi kutetea wezi na watu wanao ongea uongo mchana kweupee, Kwa uongo alioongea Bungeni alipokuwa anajitetea, hapaswi hata kurudi Chuoni kufundisha.
Nashauri uteuzi ufanyike mara moja ili topic hii iweze kufungwa la sivyo mnataka Watanzania wote tuonekane HATUNAZO! kwa nchi za wenzetu, ukifanya mazuri 100 ukaboronga moja unahukumiwa na hilo hilo moja!
Kwenye nchi yenye watu zaidi ya mil 40 inakuwa ni kichekesho kumwona mtu ambae ameshachafuka kuwa bado anafaa kuongoza. Kwani kabla yake Wizara ilikuwa haina Waziri? Tuache unafiki, uteuzi wa kujuana na upuuzi wa kusema huyu tukimweka pale atatuzibia muone kama hamtampata Mtanzania mwindine anaefaa kushika hiyo Wizara. Kama ndani ya CCM wameisha, angalieni na vyama vya upinzani.
Hilo linawezekana kama walivyofanya Wakenya majuzi. Hii nchi ni yetu na hamna nafasi kutetea wezi na watu wanao ongea uongo mchana kweupee, Kwa uongo alioongea Bungeni alipokuwa anajitetea, hapaswi hata kurudi Chuoni kufundisha.
Nashauri uteuzi ufanyike mara moja ili topic hii iweze kufungwa la sivyo mnataka Watanzania wote tuonekane HATUNAZO!