Wanaomtetea Prof. Muhongo, jibuni maswali haya

Wanaomtetea Prof. Muhongo, jibuni maswali haya

Nimefanya uchunguzi kwa muda mfupi kuhusu watu wanao mchukia prof muhongo nimegundua wana sifa mojawapo ktk hizi!

1)Wao ni wapigaji wa kubwa ktk sehemu zao za kazi.

2) Huwa hawatembei mikoani wao ni posta, k,koo tu.

3) Walikuja mjini kwa sababu ya shule au ana kaa mjini kwa shemeji.

4) Ni waoga wa maisha analipwa kamshahara kadogo anaogopa akiacha kazi atakula nn.

5) Waliokua na pesa na sasa wamefilisika.

6) Wapo wapo tu kila analolifanya haliendi.

7) Na wale walio tofautiana kiitikadi.
 
1) Hivi dalali hua hapati pesa, mbona yeye hajatajwa?
2) Mnashangaa kwa nini deni limeongezeka, mbona hamshangai kusambaa kwa nguzo nchi nzima au mlijua anatoa pesa mfukoni kwake?
Upunguani mwingine bwana! Sasa na wewe umejiona umo miongoni mwa GREATER THINKERS WETU??.. Bora ungekaa kimya
 
Nimefanya uchunguzi kwa muda mfupi kuhusu watu wanao mchukia prof muhongo nimegundua wana sifa mojawapo ktk hizi!

1)Wao ni wapigaji wa kubwa ktk sehemu zao za kazi.

2) Huwa hawatembei mikoani wao ni posta, k,koo tu.

3) Walikuja mjini kwa sababu ya shule au ana kaa mjini kwa shemeji.

4) Ni waoga wa maisha analipwa kamshahara kadogo anaogopa akiacha kazi atakula nn.

5) Waliokua na pesa na sasa wamefilisika.

6) Wapo wapo tu kila analolifanya haliendi.

7) Na wale walio tofautiana kiitikadi.

Duh! huyu ni GT, kazi tunayo.

Lete majibu ya maswali acha porojo.
 
Du simiyu yetu na msalani wana akili nyingi kuliko wafadhili ambao ndio wanaotoa pesa kwa umeme unaosambazwa vijijini haya wamegoma kutoa pesa mpaka pesa ya walipa kodi irejeshwe na wahusika wachukuliwe atua
 
Nimefanya uchunguzi kwa muda mfupi kuhusu watu wanao mchukia prof muhongo nimegundua wana sifa mojawapo ktk hizi!

1)Wao ni wapigaji wa kubwa ktk sehemu zao za kazi.

2) Huwa hawatembei mikoani wao ni posta, k,koo tu.

3) Walikuja mjini kwa sababu ya shule au ana kaa mjini kwa shemeji.

4) Ni waoga wa maisha analipwa kamshahara kadogo anaogopa akiacha kazi atakula nn.

5) Waliokua na pesa na sasa wamefilisika.

6) Wapo wapo tu kila analolifanya haliendi.

7) Na wale walio tofautiana kiitikadi.

we ulisoma AMAZON, ZOOM AU DATAR STAR coz huo utafiti sio valid
 
Bora sasa mengi amejitokeza na muhongo waziwazi alikuwa anatumia watu sasa ameona muhongo anapendwa na watu amejitokeza mzimamzima kupambana na muhongo kupitia magazeti yake na tv mengi mjinga sana

Ametumia akina mbowe,mbatia,kafulila,zitto,deo filikunjombe haikuzaa matunda sasa kaingia mwenyewe mzee anabalaa huyu fisadi la mafisadi.

Haya maswali dhidi ya Prof. Muhongo, yangekuwa na maana kama yangeibuliwa na media ya mtu/watu waadilifu. Mengi ameshiriki kufirisika NBC - mabilioni aliyokopa hajalipa mpaka leo. Mengi alishiriki kuifirisi NICOL kwa kutumia mabilioni ya wanahisa kununua kiwanda feki cha mdogo wake Moshi na uwekezaji wa hovyo. Mengi huyuhuyu na family yake wamewadhulumu mashamba huko Kilimanjaro wawekezaji kutoka uingereza na kuibua kashfa iliyotia dosari mahusiano ya nchi yetu na wawekezaji wa Ulaya. Mengi anazo tuhuma nyingi za kifisadi lakini anatumia vyombo vyake vya habari kujipigia debe ili aonekane ni msafi na wengine hawafai. Aidha ni mhongaji mzuri kwa wanasiasa wanaokuwa tayari kuwa vipaza sauti kwa matakwa yake kama tunavyoona sasa katika hizi porojo za ESCROW. Sasa anatumia TPSF kuendesha vita dhidi ya Mhongo kwa manufaa ya matajiri na walanguzi wachache kwa propaganda ya UZAWA!

Kwa upande wake Prof. Muhongo anaingia katika historia ya mawaziri wachache waliosimamia maslahi ya taifa kwa kusitisha mikataba ya kifisadi kama malipo ya bilioni 66 kwa Mkono! Je? Mkono amelipa TRA? NA jE? Ukokotoaji wa malipo ya mabililioni haya kwa mkono umechunguzwa na CAG na PAC? AU hizo si pesa za umma? Prof. Mhongo amesimamia mapinduzi ya electrification katika nchi yetu kwa viwango ambavyo havijawahi kufikiwa tangu tujitawale. Hii mitambo ya IPTL si mali ya umma kama majenereta ya Mtera na Kidatu! Prof. Mhongo kawezesha kuhitimisha kesi baina ya IPTL na TANESCO za zaidi ya miaka 10 ili mitambo hii itumike kutoa umeme mwingi zaidi na kwa bei poa! Tatizo liko wapi? Hela za umma katika sakata hili ni kodi za serikali basi. Kama kuna malipo ya kupunjana mlalamikaji ni TANESCO na siyo Kafulila na Sendeka - walichofanya PAC na bunge ni kuendesha "Kangaloo court and Mob lynching" kwa kiingereza. Ni aibu kwa utawala wa sheria na

Watanzania wenzangu "mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni". Tusiyumbishwe na propaganda chafu za Mengi na Mkono dhidi ya Mhongo kwasababu akitoswa watanzania wanyonge ndiyo watakaoumia.
 
1) Hivi dalali hua hapati pesa, mbona yeye hajatajwa?
2) Mnashangaa kwa nini deni limeongezeka, mbona hamshangai kusambaa kwa nguzo nchi nzima au mlijua anatoa pesa mfukoni kwake?

Unaposema nchi nzima unamaanisha kuwa hakuna hata mtaa mmoja usio na umeme?
 
Shame article,unatumia vyombo vyako vya habari kusambaza ujinga. Na wewe jibu maswali haya:-


1. Hasara ya mabilioni umeyaona kwa Tanesco. Ok je Tanesco ilikuwa na mapato kiasi gani huko nyuma? Ainisha na miaka kama ulivyoainisha hasara.

2. waliopata umeme toka Muhongo hajawa madarakani mpaka amekuwa waziri wa wizara hiyo ni wangapi? Tanesco miaka yote ilikuwa inaenda kwa hasara kwa wateja kidogo walionao,sasa kwa miaka hiyo uliyoitaja ya hasara kama wateja wameongezeka ulitegemea hasara itapungua itazidi? Kama kipindi cha Muhongo hakukuwa na mgao unategemea nini si lazima hasara iongezeke maana huduma inapatikana kwa wingi na hasara lazima iongezeke tu,kwani toka mwanzo wakiwa na wateja kidogo ni hasara,tuchukulie wakati wa mgao tanesco ilikuwa inanunua lita 100 za mafuta na wakati hakuna mgao inabidi wanunue mafuta lita 1000 hapa unategemea nini? Kwa nini hasara isiongezeke,tukumbuke hapa shirika haliendeshwi kibiashara


3.Mikataba ya migodi imepitiwa msipotoshe watu,ila tunataka maboresho zaidi na udhibiti zaidi. Tukumbuke Nyerere alipotaifisha mali za watu alitaifisha za wazawa pia,maana aliamini bepari ni bepari tu awe mzungu,mswahili au mhindi,kwa hiyo tusichukulie kuwa mzawa una haki zote kumiliki wewe na ndugu zako migodi ya geita na kufanya unavyotaka. Tanesco na wizara hizo Muhongo kazikuta za hovyo hivyo basi kipindi hicho kifupi kafanya mageuzi mengi tu na hawezi kumaliza mambo yote kwa mara moja.


4. Umeme unakatikakatika mara kwa mara,ok. Ni sawa na mgao uliokuwepo? Na ukatikaji wa mara kwa mara ni hujuma mlizokuwa mnamfanyia kwa kushirikiana na makampuni mengine ya umeme ili ashindwe kutekeleza azma yake ya mgao ubaki historia tu.


5. Ni lini au ni waziri yupi aliyeshika wizara hiyo na kuwadhibiti Tanesco kama Waziri Muhongo? Imefika Tanesco wanakupigia simu saa Fulani tunakuja kuweka umeme nyumbani kwako,toka uhuru imewahi kutokea? Waziri Muhongo kakata mirija Tanesco hivyo maadui walikuwa wengi tu na sasa kila mfanyakazi Tanesco meno njia wanajua ulaji umerudi. Na katika mirija aliyoikata ipo pia kina Zitto na Mkono waliokuwa wakishirikiana na Mkurugenzi wa zamani wa Tanesco kwenye ulaji wa shirika hilo,je Muhongo atakuwa salama?


Mheshimiwa Muhongo unafaa hata kuwa Rais wan chi hii,maana nchi kwa sasa inataka mtu jeuri na dikteta na anayetoa amri na msimamo usioyumba. Kwa kazi hakuna waziri yeyote toka uhuru mpaka sasa aliyeimudu wizara kama wewe,ni siasa za chuki na ulaji ndio zilizokuchafua,ati wanakuita dalali, wamekosa cha kuwathibitishia umma kama ulipata mgao,mbona wengine wameweza kwa nini wewe washindwe? Siasa chafu tu hizo,mbona wamemsitiri kiongozi wa upinzani ili upinzani usiabike na kusambaratika na ndio gia anayoingilia Zitto sasa kutaka kurudi Chadema. Unafikiri watamkataa wakati kamfinika mkuu nguo?


KAMA HASARA YA TANESCO IMETOKANA NA KUTOKOSEKANA KWA MGAO HIYO SIYO HASARA NI FAIDA KUBWA

 
Huyu mwandishi wa hii article namfananisha na wale Wafanyakazi, wenye nguvu afya na akili timamu pamoja na familia zao waliompokea Jairo kwa mbwembwe nyiiingi pale ofisini kisha kesho yake jamaa katimuliwa. Sijui huwa jamaa wanajiskiaje wakiona zile picha za siku ile.... Pumbafu zao kabisa
 
Majibu yanajitosheleza, tuwasubiri na propaganda zingine dhidi ya Waziri
 
Shame article,unatumia vyombo vyako vya habari kusambaza ujinga. Na wewe jibu maswali haya:-


1. Hasara ya mabilioni umeyaona kwa Tanesco. Ok je Tanesco ilikuwa na mapato kiasi gani huko nyuma? Ainisha na miaka kama ulivyoainisha hasara.

2. waliopata umeme toka Muhongo hajawa madarakani mpaka amekuwa waziri wa wizara hiyo ni wangapi? Tanesco miaka yote ilikuwa inaenda kwa hasara kwa wateja kidogo walionao,sasa kwa miaka hiyo uliyoitaja ya hasara kama wateja wameongezeka ulitegemea hasara itapungua itazidi? Kama kipindi cha Muhongo hakukuwa na mgao unategemea nini si lazima hasara iongezeke maana huduma inapatikana kwa wingi na hasara lazima iongezeke tu,kwani toka mwanzo wakiwa na wateja kidogo ni hasara,tuchukulie wakati wa mgao tanesco ilikuwa inanunua lita 100 za mafuta na wakati hakuna mgao inabidi wanunue mafuta lita 1000 hapa unategemea nini? Kwa nini hasara isiongezeke,tukumbuke hapa shirika haliendeshwi kibiashara


3.Mikataba ya migodi imepitiwa msipotoshe watu,ila tunataka maboresho zaidi na udhibiti zaidi. Tukumbuke Nyerere alipotaifisha mali za watu alitaifisha za wazawa pia,maana aliamini bepari ni bepari tu awe mzungu,mswahili au mhindi,kwa hiyo tusichukulie kuwa mzawa una haki zote kumiliki wewe na ndugu zako migodi ya geita na kufanya unavyotaka. Tanesco na wizara hizo Muhongo kazikuta za hovyo hivyo basi kipindi hicho kifupi kafanya mageuzi mengi tu na hawezi kumaliza mambo yote kwa mara moja.


4. Umeme unakatikakatika mara kwa mara,ok. Ni sawa na mgao uliokuwepo? Na ukatikaji wa mara kwa mara ni hujuma mlizokuwa mnamfanyia kwa kushirikiana na makampuni mengine ya umeme ili ashindwe kutekeleza azma yake ya mgao ubaki historia tu.


5. Ni lini au ni waziri yupi aliyeshika wizara hiyo na kuwadhibiti Tanesco kama Waziri Muhongo? Imefika Tanesco wanakupigia simu saa Fulani tunakuja kuweka umeme nyumbani kwako,toka uhuru imewahi kutokea? Waziri Muhongo kakata mirija Tanesco hivyo maadui walikuwa wengi tu na sasa kila mfanyakazi Tanesco meno njia wanajua ulaji umerudi. Na katika mirija aliyoikata ipo pia kina Zitto na Mkono waliokuwa wakishirikiana na Mkurugenzi wa zamani wa Tanesco kwenye ulaji wa shirika hilo,je Muhongo atakuwa salama?


Mheshimiwa Muhongo unafaa hata kuwa Rais wan chi hii,maana nchi kwa sasa inataka mtu jeuri na dikteta na anayetoa amri na msimamo usioyumba. Kwa kazi hakuna waziri yeyote toka uhuru mpaka sasa aliyeimudu wizara kama wewe,ni siasa za chuki na ulaji ndio zilizokuchafua,ati wanakuita dalali, wamekosa cha kuwathibitishia umma kama ulipata mgao,mbona wengine wameweza kwa nini wewe washindwe? Siasa chafu tu hizo,mbona wamemsitiri kiongozi wa upinzani ili upinzani usiabike na kusambaratika na ndio gia anayoingilia Zitto sasa kutaka kurudi Chadema. Unafikiri watamkataa wakati kamfinika mkuu nguo?


KAMA HASARA YA TANESCO IMETOKANA NA KUTOKOSEKANA KWA MGAO HIYO SIYO HASARA NI FAIDA KUBWA

Mkuu usijisumbue kumtetea msomi Muhongo aliyejidhihirisha kuwa ni muongo!
Yoote tisa, kumi ni umajivuni wake unaokera, mtu kama huyo huwezi kumtetea kwa vigezo vyovyote vule.

Nafikiri Muhongo alikuwa na kaujinga fulani kwa kufikiri kwenye siasa ni darasani, si alionyesha vyeti vya Ole Sendeka katika kujitetea na madudu yake.
Sasas tumbili tu wamemsabaratisha, na kumuita muongo, na hii iko kwenye hansard ya bunge.
Kama ana akili sana na ni msomi , atengue sifa hiyo mbaya sana.
 
Mengi anahangaika sana. Sasa amekuwa dalali wa akina Zitto kueleza madeni ya TANESCO
 
Huyu mwandishi wa hii article namfananisha na wale Wafanyakazi, wenye nguvu afya na akili timamu pamoja na familia zao waliompokea Jairo kwa mbwembwe nyiiingi pale ofisini kisha kesho yake jamaa katimuliwa. Sijui huwa jamaa wanajiskiaje wakiona zile picha za siku ile.... Pumbafu zao kabisa
Rais kajifunza kutokana na makosa ya Jairo, sasa itabidi achambue pumba na mchele
 
Mkuu usijisumbue kumtetea msomi Muhongo aliyejidhihirisha kuwa ni muongo!
Yoote tisa, kumi ni umajivuni wake unaokera, mtu kama huyo huwezi kumtetea kwa vigezo vyovyote vule.

Nafikiri Muhongo alikuwa na kaujinga fulani kwa kufikiri kwenye siasa ni darasani, si alionyesha vyeti vya Ole Sendeka katika kujitetea na madudu yake.
Sasas tumbili tu wamemsabaratisha, na kumuita muongo, na hii iko kwenye hansard ya bunge.
Kama ana akili sana na ni msomi , atengue sifa hiyo mbaya sana.
Muhongo hayupo kupiga siasa na wala yeye hajui siasa. Hapo ni kazi tu. mwambieni Mengi ajipange upya ila kwa hii santuri ya escrow imebuma
 
Back
Top Bottom