Afrika ya Kusini, Africa nzima ikiwakilishwa na Dr Kenneth Kaunda wamempa leo JK stahili yake.
Amepewa heshima kubwa katika nafasi ya waalikwa na familia na serikali ya RSA.
Kwa kweli speech yake yenye maneno mazito yamekonga nyoyo za watu wote waliomsikiliza. Ameiwakisha Tanzania na watanzania vilivyo, ameitangaza Tanzania, amemuenzi MWALIMU, walokuwa hawajui ROLE ya Mwalimu na Tanzania iliyoplay katika harakati za ukombozi wa kusini mwa Afrika, leo wamejua, waliokuwa hawajui Uhusiano wa wa tangu zama zile wa Mandela na Mwalimu na Tanganyika hata wewe mwana JF ukiwa mmoja wao tumefunguka macho. Kwa kweli it was a touching moment to hear our President speaking.
Japo wana JF wengi kwa niaba ya makundi yenu mmezoea kumponda, kumnanga, kama unakosoa serikali.. RUKSA! lakini ujijumuishe na wewe, badala ya kulalama na kutukana, provide solutions ama mikakati.
Nadhani kwa kumuenzi Mandela, tu reconcile na Rais wetu, tumtie moyo amalize awamu yake kwa amani. Hongera na Asante KIKWETE leo umetuinua juu sisi Watanzania na Nchi yako Tanzania.
Amepewa heshima kubwa katika nafasi ya waalikwa na familia na serikali ya RSA.
Kwa kweli speech yake yenye maneno mazito yamekonga nyoyo za watu wote waliomsikiliza. Ameiwakisha Tanzania na watanzania vilivyo, ameitangaza Tanzania, amemuenzi MWALIMU, walokuwa hawajui ROLE ya Mwalimu na Tanzania iliyoplay katika harakati za ukombozi wa kusini mwa Afrika, leo wamejua, waliokuwa hawajui Uhusiano wa wa tangu zama zile wa Mandela na Mwalimu na Tanganyika hata wewe mwana JF ukiwa mmoja wao tumefunguka macho. Kwa kweli it was a touching moment to hear our President speaking.
Japo wana JF wengi kwa niaba ya makundi yenu mmezoea kumponda, kumnanga, kama unakosoa serikali.. RUKSA! lakini ujijumuishe na wewe, badala ya kulalama na kutukana, provide solutions ama mikakati.
Nadhani kwa kumuenzi Mandela, tu reconcile na Rais wetu, tumtie moyo amalize awamu yake kwa amani. Hongera na Asante KIKWETE leo umetuinua juu sisi Watanzania na Nchi yako Tanzania.