Wanaomnanga jkikwete............mazishi ya madiba, kidedea!

Ni kweli ameongea vizuri, speech nzuri na audience ilimsifu kwa kumpigia makofi,, hayo yote yalikuwa ni mazuri hasahasa kwa mtu uliepata muda wa kuangalia.......
Lakini sasa speech yake haifuti mabilioni ya uswisi, haifuti mali asili zinazotokomea kila kukicha, haifuti sifa kubwa ua madawa ya kulevya, pia kushindwa kuwawajibisha viongoz mizigo..
 
Ni kweli ameongea vizuri, speech nzuri na audience ilimsifu kwa kumpigia makofi,, hayo yote yalikuwa ni mazuri hasahasa kwa mtu uliepata muda wa kuangalia.......
Lakini sasa speech yake haifuti mabilioni ya uswisi, haifuti mali asili zinazotokomea kila kukicha, haifuti sifa kubwa ua madawa ya kulevya, pia kushindwa kuwawajibisha viongoz mizigo..

Nadhani JK atasoma mchango wako huu, mawazo safi; achukulie iwe changamoto, ayafanyie kazi ili tuamini kuwa maneno yake anayaamini kama alivyoyatamka
 
kwan JK alipewa chance kuongea kuhusu nini?
-jinsi tanzania ilivyomsaidia madiba katika mapambano?
-jinsi tanzania tunavyomchukulia madiba?
-au vitu alivyofanya madiba ambavyo vinabidi vienziwe?
-alitakiwa aongelee uhusiano wa TZ na SA?
yote hayo ni majibu sahihi, na JK amefanya kwa usahihi ndivyo inavyotakiwa afanye. hakuumauma maneno.
 
Nakupongeza,sina kinyongo na uwakilishi wako nje ya Tanzania.... tayari wana wa africa ya kusini na dunia imetambua mchango wa taifa letu... ukipata nafasi ya kutoa hotuba tena popote,waambie tulipata uhuru 1961...waambie bado ni masikini,elimu inazama,waambie nishati ya umeme miaka 50 baada ya uhuru bado ni shida...waambie mauaji ya wanahabari yamekua kitu cha kawaida...waambie sera za kusimamia madini ni 'giza' zito....waambie uwoga wa serikali kushughurikia wezi wa mali za uma,wauza dawa za kulevya... ukipata muda wapeleke wakaone kaburi la DAUD BALAL,waambie nchi yake haikupata nafasi ya kuona mwili wake wala kaburi... mwambie MANDELA akampe salamu NYERERE,amwambie ikulu imekua 'kijiwe cha kupiga' pesa...amwambie tumerejeshewa chenji ya rada... amwambie mmoja wa mawaziri wa baadhi ya awamu ana kashfa ya kubaka.... NAOMBA NIKUPONGEZE TENA KWA HOTUBA YAKO.
 
Afrika ya Kusini, Africa nzima ikiwakilishwa na Dr Kenneth Kaunda wamempa leo JK stahili yake.
Amepewa heshima kubwa katika nafasi ya waalikwa na familia na serikali ya RSA.

Kwa kweli speech yake yenye maneno mazito yamekonga nyoyo za watu wote waliomsikiliza. Ameiwakisha Tanzania na watanzania vilivyo, ameitangaza Tanzania, amemuenzi MWALIMU, walokuwa hawajui ROLE ya Mwalimu na Tanzania iliyoplay katika harakati za ukombozi wa kusini mwa Afrika, leo wamejua, waliokuwa hawajui Uhusiano wa wa tangu zama zile wa Mandela na Mwalimu na Tanganyika hata wewe mwana JF ukiwa mmoja wao tumefunguka macho. Kwa kweli it was a touching moment to hear our President speaking.
Japo wana JF wengi kwa niaba ya makundi yenu mmezoea kumponda, kumnanga, kama unakosoa serikali.. RUKSA! lakini ujijumuishe na wewe, badala ya kulalama na kutukana, provide solutions ama mikakati.
Nadhani kwa kumuenzi Mandela, tu reconcile na Rais wetu, tumtie moyo amalize awamu yake kwa amani. Hongera na Asante KIKWETE leo umetuinua juu sisi Watanzania na Nchi yako Tanzania.

Umeandika vizuri tu, lakini ulipofika hapo kwenye nyekundu ukaharibu kabisa, KUMBE SHIDA NI KUMALIZA AWAMU TU?!!!!!
 
kama sio mchango wa wanaJf kuhusu kikwete kudharauliwa ile majuzi sidhani kama wangempa nafasi!Obama alifunika ile majuzi....tulipigia kelele hili!
 
Natamani nikujibu.........nimeamua kukuignore

Mm cjaona cha ajabu ktk ile speech. Nyie watoto wa Lumumba c lazima mumsifie anayewalisha.. tena ukizingatia 2015 inakaribia. wanafki tuu nyie. Speech ilikua ya kawaida huo ndo ukwel na msiseme nna chuki nae maana kama ni ivyo ningeandika kua ni mbaya bt nimesema ukwel kua ni ya 'kawaida'. Nyie mnaoona kua ni Superb huo ni mtazamo wenu na kila mtu ana mtazamo wake kwahyo msi4C.
 
Jamani, penye ukweli tusema, hata kama aliyesema si wa upande wetu! La msingi amewakumbusha Wasauzi kuwa wanachofanya sasa kuwachukia 'foreigners including TZnians' ni kutukana kaburi la Mandela. When the S. Africans were nothing in their own country, they were well accomodated by TZnians though we did not have enough to share even for ourselves. Now that they have gained their freedom in a land with milk and honey, they don't want to remember the past or the generosity they received from Tanzanians under the late Mwalimu. It is time that someone reminds them where they come from, and how much others paid and suffered for their sake!
 
Unajua watz ndo maana tunadharaulika sana...watu wanadhabikia utumbo sijui kwa nini..ss jk alichofanya cha ajabu nini...? Hotuba mbovu kabisa imejaa kujidai kwingi wala haijamuenzi mandela...unaongea ooh tulimpa passport so what?

Ungekuwa wewe ndo unaiwakilisha Tz ungungumzia nini ? na unawezje kuuaminisha kwamba ingekuwa the best pech?
 
jamani kwa hili tumuunge mkono kapewa nafasi kachana inavyotakiwa dunia ijue kuwa tz wametoa damu na jasho kwa ukombozi wa bara hili nimeipenda hii sijui kama mbeki ulirudisha passport yako ya tz
 
Mm cjaona cha ajabu ktk ile speech. Nyie watoto wa Lumumba c lazima mumsifie anayewalisha.. tena ukizingatia 2015 inakaribia. wanafki tuu nyie. Speech ilikua ya kawaida huo ndo ukwel na msiseme nna chuki nae maana kama ni ivyo ningeandika kua ni mbaya bt nimesema ukwel kua ni ya 'kawaida'. Nyie mnaoona kua ni Superb huo ni mtazamo wenu na kila mtu ana mtazamo wake kwahyo msi4C.

Chadema hio mbegu mbaya ya kupinga kila kityu itawaghalimu sana katika maisha yenu na naweza kusem hata nafszenu hamziendei haki.mnataka kusema Chama chenukkipta nafasi ya kuchua dola itafanya mujiza?,
 
Mnamkubali kwa lipi? alipoichukua nchi 2005 na sasa kiuchumi, utendaji wa serikali, ubadhilivu wa umma na mengineyo mengi mbina yameshuka kwa kasi ya ajabu?

Muongo mkubwa wewe, weka ushahidi.
 
Back
Top Bottom