Wanaoishi Masaki Vs Manzese, Mbagala n.k

Wanaoishi Masaki Vs Manzese, Mbagala n.k

kbm

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
5,224
Reaction score
1,685
Tofauti ya maisha; Eti ni dhahiri kuwa kuna tofauti kubwa ya maisha kulingana na maeneo, eti na watu wanaoishi huwa na tabia kulingana na maeneo yao: mfano Mke anayeishi Masaki akimwagiza mumewe utasikia "Honey ukirudi husisahau kuniletea soseji, pizza au kuku' sawa dear" Je eti na sisi tunao kaa Manzese, Mbagala, Vingunguti, Tandale na kwingineko mabonde kwinama' Mke akiwa anamwagiza mumewe utasikia...?
 
Hivi Masaki washapata maji siku hizi au mwendo wa Simtank bado?
 
Huku kwa mnyamani tunaagizwa dagaa, utumbo wa kuku na vichwa,vikikosekana hata miguu ya kuku inatosha
 
Eeh te te tee; Like kwa Baba V, anin - gift, na Red Giant. JIBU: eti utasikia "Wee mwanamume usisahau kurudi na miguu ya kuku, utumbo na mihogo ya kukaanga tia pilipili nyingi." loh!
 
Kiranga, Wanaokaa Masaki maji hawana hata miundombinu ya maji hamna.
 
Wa Kwa Tandale kwa mtogole, "Nletee udongo na Perege

Nyie jamaa bana nyie.
Wale wa Kimara na Mbezi kimara wao hawaagizani kitu.

Ukiamka unakuta mama kayayii kashachapa mwendo.

Jioni abakupigia simu anakuuliza etii Kimario, pale Marangu kuna mbuzi nzuri leo?
Ukijibu kwamba wapo wazuri, anakwambia, basi utanikuta hapo...au ushafika hapo tayari??!!

Daaaadeeeki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom