kama kuna mwanafunzi alijiandikishiaga chuoni na wakati wa kupiga kura atakuwa kwao aende kwa mkurugenzi au ofisi ya kata/wilaya wambadilishie taarifa zake ili aweze kupiga kura sehemu aliyopo:- sambaza ujumbe huu kwa wanafunzi wa chuo na rafiki zako kwenye magroup. Wakati wa mabadiliko ni sasa
hii ndo ccm wanapaki barabarani wanajibu jeuri wakuu niasidie hii ni ya kiongozi gani imepaki bararani mda huu na driver mjeuri kweli amesababisha foleni kwa mno
hawa ndo hawo wanoweka foleni hawana akili
Mkuu si nasikia uraisi unapiga tuh ila ubunge haupigi? Au ukienda huko kwa mkurugenzi ndio unachagua hadi madiwani?
Changamka hata kura ya urais hutopiga .. Kabadili taarifa
kama kuna mwanafunzi alijiandikishiaga chuoni na wakati wa kupiga kura atakuwa kwao aende kwa mkurugenzi au ofisi ya kata/wilaya wambadilishie taarifa zake ili aweze kupiga kura sehemu aliyopo:- sambaza ujumbe huu kwa wanafunzi wa chuo na rafiki zako kwenye magroup. Wakati wa mabadiliko ni sasa
Nimecheka sana
Usicheke wenzetu wapo empty
Usicheke wenzetu wapo empty
maisha yamekuwa rahisi sana siku izi maana ukiishabikia UKAWA tu automatical unajiona una akili hata uwe na dv 5
Yaani nyie hangaikeni tu, ila hata maiti yangu haiwezi kuipigia kura ukawa.
mabadiliko hayaepukiki mwaka huu