- Thread starter
- #21
Ninachocheka mbali na u empty huo ni kuwa vina vuja kwakuwa hata wajazwe mambo kesho wanasahau.
Kuna wimbo mmoja wa Mchinga Sound enzi hizo unaitwa Kichwa cha panzi.
Vitawakaa sawa tuu na hao waanze furikiria maendeleo
Ninachocheka mbali na u empty huo ni kuwa vina vuja kwakuwa hata wajazwe mambo kesho wanasahau.
Kuna wimbo mmoja wa Mchinga Sound enzi hizo unaitwa Kichwa cha panzi.
October 25
Hahahaaaa unapoteza kura yako bure kuipigia fisiemu.
Ila wew ni sister wangu hahagaa usinichambe
Ngoja ninyamaze maana akili za ukawa mnaziweza wenyewe na mihemko yenu, ila kura yangu ni kwa Maghufuli tu, mtu wa watu,mchapakazi,anayejitambua,asiyeyumbishwa,mtu makini. Tanzania niitakayo naiona ileeee inakuja na Maghufuli, huyo lofa wenu bakini naye malofa wenzie.
katoroka sijui wew unangoja niniWote wanaomshabikia lowasa ni vichwa maji zaidi ya ccm.
Yaaaaaahhh MALOFA KATIKA UBORA WETU.
View attachment 289390katoroka sijui wew unangoja nini
Akili za kuku, wanakunya wanapolala
Mwaka huu manyumbu wataishia kutanua vidole badala ya kutanua akili. Lowasa ni jangaaaa shtukeni vijana mnaangamia
Ukitaka kujua kama mtu anajitambua angalia mgombea anayemshabikia. Uwezo wa kupima hoja za wagombea jukwaani ni msingi mkuu wa kupata kiongozi bora DUNIA NZIMA. Ajabu kwa mara ya kwanza katika historia ya vyama vingi DUNIANI, Tanzania imepata mgombea asiyeweza hata kujenga hoja kwa sekunde ishirini tu, na ajabu zaidi mashabiki wake wanajipambunua kuwa wenye hekima tele. Hata hivyo hakuna mwendawazimu anayejitambua kuwa hivyo, kwani hata wenye hekima wakimweleza ukweli kuhusu uendawazimu wake, hugeuka mbogo
Kwa wanaojitambua, na wanaohitaji mabadiliko ya kweli.
Sasa hivi tunataka mtu anayeongea kidogo tu ila ni mtendaji zaidi.Viongozi wote waliojua kujenga hoja wameifanyia nini nchi hii cha maana hadi kufikia leo?Tatizo la mgao wa umeme duniani umebaki Tanzania tu.
Mwaka huu manyumbu wataishia kutanua vidole badala ya kutanua akili. Lowasa ni jangaaaa shtukeni vijana mnaangamia