Kujua kwamba huyu mwongo na huyu mkweli kuna hitaji uwe na degree?
Ngoja ajee manundu yatakuhusu
Juzi juzi alinipiga za uso ila sasa hivi nimepona na nimerudi rasmi!
Hahahaaaa polee ungeniita nije kukuteteaa
Kujua kwamba huyu mwongo na huyu mkweli kuna hitaji uwe na degree?
Sasa hivi tunataka mtu anayeongea kidogo tu ila ni mtendaji zaidi.Viongozi wote waliojua kujenga hoja wameifanyia nini nchi hii cha maana hadi kufikia leo?Tatizo la mgao wa umeme duniani umebaki Tanzania tu.
Kama unatumia kichwa chako kufikiri, basi sifa hiyo ni ya magufuli.
Huku kwetu niliandikisha na nitawahi mapema nikimaliza huyoooo
Parkinson disease
Endeleeni kuota ila mkiamka mtamkuta Maghufuli ikulu.
Peleka ujinga huko Lowasa ndo Rais wetu tushaamua ivo