Ukitaka kujua kama mtu anajitambua angalia mgombea anayemshabikia. Uwezo wa kupima hoja za wagombea jukwaani ni msingi mkuu wa kupata kiongozi bora DUNIA NZIMA. Ajabu kwa mara ya kwanza katika historia ya vyama vingi DUNIANI, Tanzania imepata mgombea asiyeweza hata kujenga hoja kwa sekunde ishirini tu, na ajabu zaidi mashabiki wake wanajipambunua kuwa wenye hekima tele. Hata hivyo hakuna mwendawazimu anayejitambua kuwa hivyo, kwani hata wenye hekima wakimweleza ukweli kuhusu uendawazimu wake, hugeuka mbogo