Nipe historia ya KANU, UNIP ya Kaunda etc! Historia ni mwalimu mzuri. CCM imesismama (kama kweli imesimama) kwa vile inapendwa na wanaohamia au ni kwa vile kuna "marupurupu" yanafuatwa?
Kwangu mimi CHADEMA imesismama pamoja na kutokuwa na nguvu ya dola kwa vile walioko wana nia ya dhati na malengo yake.
CHADEMA iko mioyoni mwa watu na si kwa vile kuna manufaa yanapatikana kutokana na upendeleo wa kidola unaofanywa na Magufuli!
Askofu Bagonza amesema namnukuu "Umaskini wa fikra unazitafuna siasa (na soka la) Tanzania. Kuna siku mtamsingizia tasa kuwa ana mimba (na mwenye mimba kuwa tasa).!
Kwangu mimi CHADEMA imesismama pamoja na kutokuwa na nguvu ya dola kwa vile walioko wana nia ya dhati na malengo yake.
CHADEMA iko mioyoni mwa watu na si kwa vile kuna manufaa yanapatikana kutokana na upendeleo wa kidola unaofanywa na Magufuli!
Askofu Bagonza amesema namnukuu "Umaskini wa fikra unazitafuna siasa (na soka la) Tanzania. Kuna siku mtamsingizia tasa kuwa ana mimba (na mwenye mimba kuwa tasa).!