Wanandoa wengi hawapendani

Wanandoa wengi hawapendani

Kwahiyo tufanyaje kutwa mnatutisha! Au mguu mmoja ndani mwingine nje🤔
Kila mahusiano yana ups and downs.. Unachotakiwa kuangalia ni mizania yake! Upande gani unamzidi mwingine
Kama downs ni nyingi kimbia chap
 
Je kama downs ni nyingi upande wangu🥺
Kwamba wewe ndio unaumiza au unaumizwa?
Maana kuna baadhi ya wanaume wanadhani mwanamke ni chombo cha starehe na baadhi ya wanawake wanadhani wanaume ni mtambo wa kumhudumia
No sharing... No caring...!
 
Kwamba wewe ndio unaumiza au unaumizwa?
Maana kuna baadhi ya wanaume wanadhani mwanamke ni chombo cha starehe na baadhi ya wanawake wanadhani wanaume ni mtambo wa kumhudumia
No sharing... No caring...!
Ni mwendo wa kuviziana tu, sema nini mkubwa, ukikutana na mtu sahihi hizi drama huwa hakuna!! Ni vile tu mnakutana na hamhitajiani basi hakuna rangi mtaacha kuoneshana😊
 
Back
Top Bottom