Nimemshangaa mpaka nimeanguka..yani hata kiswahili nacho tunakigumufisha>??Kumbe mtu akiachika ni mjane he he he
Wingi wa watu wanaoshangaa hili itoshe kutujuza kuwa huko kwenu ZNZ mna kiswahili chenu tofauti na cha huku kwetu.unajua lahaja? huku kwetu zanzibar m2 alie achwa huwa anaitwa mjane na mtu aliefiwa na mume pia huitwa hivyo hivyo so usowe na tabia ya kucremu sawa mkuu soma ujue
Kumbe mtu akiachika ni mjane he he he
Heh!
Waalimu wa kiswahili waje watusaidie hapa,huo ndio ukanda wa pwani
tunakoaminishwa ndio chimbuko la kiswahili wanaita walioachika
wajane!!!
Nimemshangaa mpaka nimeanguka..yani hata kiswahili nacho tunakigumufisha>??
kama nyinyi mnasema mjane ni wanamke aliefiwa na mume je mwanamke alieachika anaitwaje?
Ni kuzuia wanaume wasife tu,je hilo liko ndani ya uwezo wako?
Utafiti mdogo tu hata kwa kuhoji watu watatu tu inaweza kukusaidia kuleta mada zinazoleta maana hapa jukwaani.
Ujane na ndoa kuvunjika wapi na wapi?
kama nyinyi mnasema mjane ni wanamke aliefiwa na mume je mwanamke alieachika anaitwaje?
Kumbe mtu akiachika ni mjane he he he
Kumbe mtu akiachika ni mjane he he he
Kumbe ni wanaume pia wajane uuhKule pemba mjane ni kijana asie na mke
Kiswahili hakijambo nacho...
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Mimi binafsi naona anaengia kwenye ndoa na ghafla ikafa yawezekana hawana uvumilivu.
The best thing to do kwanza mjue mwenzio vya kutosha hii itakupa nafasi ya kuweza kukabili ups and down nyingi na kua mvumilivu
Pili usiingie kwenye ndo kama fashion
Tatu Penda kuresolve issue zenu wenyewe bila kushirikisha watu.
Nne kabla hujachukua maamuzi ya hovyo fikiria ungekuwa wewe ndio unafanyiwa ungejisikiaje??
Ni hayo tu