Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 576
- 1,626
Wananchi wilayani Serengeti watoa ushuhuda hadharani jinsi ndugu zao waliovyouliwa na Askari Nyamapori. Hili lilifanyika katika mkutano wa hadhara uliofanyika Serengeti ambapo Katibu Mkuu wa Baraza la Wanawake CHADEMA, Catherine Ruge aliwapa kipaza sauti wananchi hao kuelezea jinsi ndugu zao walivyopotea.
Baada ya mkutano huo Catherine, watu waliotoa ushuhuda na baadhi ya wanachama wa CHADEMA walikamatwa na polisi na kupelekwa katika Kituo cha Polisi Mugumu mjini, ambapo walioachiwa baada ya kutoa maelezo.
Baada ya mkutano huo Catherine, watu waliotoa ushuhuda na baadhi ya wanachama wa CHADEMA walikamatwa na polisi na kupelekwa katika Kituo cha Polisi Mugumu mjini, ambapo walioachiwa baada ya kutoa maelezo.