Wananchi wa tanzania wanampenda na kumuamini sana Rais samia, mataifa duniani yanamkubali mno

Tlaatlaah

JF-Expert Member
May 18, 2023
8,194
11,623
Kwa upendo wa wazi na wa dhati walionao wa Tanzania dhidi ya kiongozi huyu mkuu wa nchi, wanatamani aiongoze Tanzania bila ukomo, lakini ndio hivyo tena anaheshimu na kuitii katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, dhidi ya utaratibu ukomo wa uongozi.

Na kwahivyo baada ya ngwe zake kwisha atawaachia wengine waendelee pia.

Kiongozi huyu shupavu, madhubuti na mwenye mipango ya kuwaletea wananchi maendeleo, yuko imara hayumbishwi na chochote anachapa kazi kwa bidii, weledi, umahiri na umakini mkubwa kwa maslahi mapana ya waTanzania wote.

Anachapa kazi akiwa ndani ya nchi, anachapa kazi akiwa nje ya nchi. Tanzania ni tulivu, ulinzi na usalama watu na mali zao ni shwari na wa uhakika.

Maendeleo ya kijamii, kisiasa na kiuchumi yanavyoshamiri nchini ndicho hasa kinachofanya wananchi wampende sana na kumuamini kiongozi huyu mkuu wa nchi.

Kwasababu wananchi wanafaidika na kunufaika na maboresho ya huduma zinazogusa maisha yao halisi mathalalani, katika sekta ya afya, Elimu, maji, kilimo, biashara, ufugaji , barabara, usafirishaji, usafiri wa anga na majini, uvuvi, ulinzi na usalama, uhuru wa maoni, uwazi serikalini, uwajibikaji kwa uchache sana.....

Masuala ya rushwa na utovu wa maadili katika utumishi wa umma yanashughulikiwa ipasavyo na hatua zinachukuliwa dhidi ya wahusika bila huruma wala upendeleo na wahusika wanawajibika vilivyo kwa makosa yao.

Nionavyo mie, katika uchaguzi ujao wa 2025, endapo atagombea Urais, basi ni dhahiri atashinda kirahisi sana na kwa kishindo kikubwa mno hapajawahi kutokea. Rekodi ya utendaji wenye weledi, tija na matokeo kwenye maisha ya waTz inambeba.

Atashindana na nani sasa kwa mfano humu nchini? Kwa kweli hakuna, ila bila shaka kutakua na wasindikizaji.

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Huo ndio ukweli wenyewe kuwa Rais samia anapendwa na kukubalika na watanzania ni haijapata kutokea.ndio maana mamilioni ya watanzania wameiambia CCM kuwa wanamhitaji Rais samia katika uchaguzi ujao ili wampe kura za ndio kwa kishindo ,kusudi aendeleze kazi nzuri aliyoianza na iliyoleta matokeo chanya katika maisha ya mamilioni ya watanzania.

Rais samia ni mpango wa Mungu Mwenyewe kuwaongoza na kuwainua watanzania.ni mpango wa Mungu kumtumia Rais samia kuwashika mkono na kuwapeleka mbele kimaendeleo Watanzania.
 
Huo ndio ukweli wenyewe kuwa Rais samia anapendwa na kukubalika na watanzania ni haijapata kutokea.ndio maana mamilioni ya watanzania wameiambia CCM kuwa wanamhitaji Rais samia katika uchaguzi ujao ili wampe kura za ndio kwa kishindo ,kusudi aendeleze kazi nzuri aliyoianza na iliyoleta matokeo chanya katika maisha ya mamilioni ya watanzania.

Rais samia ni mpango wa Mungu Mwenyewe kuwaongoza na kuwainua watanzania.ni mpango wa Mungu kumtumia Rais samia kuwashika mkono na kuwapeleka mbele kimaendeleo Watanzania.
😂💪Umeua kabsaaaa
 
Wataelewa tu kuwa Rais samia ni kama maji usipoyanywa utayaoga tu.
Yaani mpaka wa elewe kwamba barabara wanazotumia kwenda kwenye mahangaiko yao hata kwenye maandamano 😂, maji na umeme wanaotumia, huduma za afya na elimu wanayopata, ulinzi usalama na Amani walionayo katika biashara, kilimo, uvuvi na Michezo ni matokeo ya utekelezaji wa ilani ya CCM chini ya kiongozi mahiri na shupavu sana Dr Samia Suluhu Hassan....
 
Kwa upendo wa wazi na wa dhati walionao wa Tanzania dhidi ya kiongozi huyu mkuu wa nchi, wanatamani aiongoze Tanzania bila ukomo, lakini ndio hivyo tena anaheshimu na kuitii katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, dhidi ya utaratibu ukomo wa uongozi.

Na kwahivyo baada ya ngwe zake kwisha atawaachia wengine waendelee pia.

Kiongozi huyu shupavu, madhubuti na mwenye mipango ya kuwaletea wananchi maendeleo, yuko imara hayumbishwi na chochote anachapa kazi kwa bidii, weledi, umahiri na umakini mkubwa kwa maslahi mapana ya waTanzania wote.

Anachapa kazi akiwa ndani ya nchi, anachapa kazi akiwa nje ya nchi. Tanzania ni tulivu, ulinzi na usalama watu na mali zao ni shwari na wa uhakika.

Maendeleo ya kijamii, kisiasa na kiuchumi yanavyoshamiri nchini ndicho hasa kinachofanya wananchi wampende sana na kumuamini kiongozi huyu mkuu wa nchi.

Kwasababu wananchi wanafaidika na kunufaika na maboresho ya huduma zinazogusa maisha yao halisi mathalalani, katika sekta ya afya, Elimu, maji, kilimo, biashara, ufugaji , barabara, usafirishaji, usafiri wa anga na majini, uvuvi, ulinzi na usalama, uhuru wa maoni, uwazi serikalini, uwajibikaji kwa uchache sana.....

Masuala ya rushwa na utovu wa maadili katika utumishi wa umma yanashughulikiwa ipasavyo na hatua zinachukuliwa dhidi ya wahusika bila huruma wala upendeleo na wahusika wanawajibika vilivyo kwa makosa yao.

Nionavyo mie, katika uchaguzi ujao wa 2025, endapo atagombea Urais, basi ni dhahiri atashinda kirahisi sana na kwa kishindo kikubwa mno hapajawahi kutokea. Rekodi ya utendaji wenye weledi, tija na matokeo kwenye maisha ya waTz inambeba.

Atashindana na nani sasa kwa mfano humu nchini? Kwa kweli hakuna, ila bila shaka kutakua na wasindikizaji.

Mungu Ibariki Tanzania.
Ila ujue na ukumbuke wakikupenda sanaaa, ujue unawatumikia vyemaaaa na unatimiza ndoto zao.
 
Ila ujue na ukumbuke wakikupenda sanaaa, ujue unawatumikia vyemaaaa na unatimiza ndoto zao.
Yes,
Hiyo ni kitu ya mwanzo sana huyu mama amefanya aliposhika hatamu, na anaendelea kuwatendea vema waTz kwa bidii sana, na ndio sababu anapendwa kila mahali na anaaminika kweli kweli....
 
Kwa upendo wa wazi na wa dhati walionao wa Tanzania dhidi ya kiongozi huyu mkuu wa nchi, wanatamani aiongoze Tanzania bila ukomo, lakini ndio hivyo tena anaheshimu na kuitii katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, dhidi ya utaratibu ukomo wa uongozi.

Na kwahivyo baada ya ngwe zake kwisha atawaachia wengine waendelee pia.

Kiongozi huyu shupavu, madhubuti na mwenye mipango ya kuwaletea wananchi maendeleo, yuko imara hayumbishwi na chochote anachapa kazi kwa bidii, weledi, umahiri na umakini mkubwa kwa maslahi mapana ya waTanzania wote.

Anachapa kazi akiwa ndani ya nchi, anachapa kazi akiwa nje ya nchi. Tanzania ni tulivu, ulinzi na usalama watu na mali zao ni shwari na wa uhakika.

Maendeleo ya kijamii, kisiasa na kiuchumi yanavyoshamiri nchini ndicho hasa kinachofanya wananchi wampende sana na kumuamini kiongozi huyu mkuu wa nchi.

Kwasababu wananchi wanafaidika na kunufaika na maboresho ya huduma zinazogusa maisha yao halisi mathalalani, katika sekta ya afya, Elimu, maji, kilimo, biashara, ufugaji , barabara, usafirishaji, usafiri wa anga na majini, uvuvi, ulinzi na usalama, uhuru wa maoni, uwazi serikalini, uwajibikaji kwa uchache sana.....

Masuala ya rushwa na utovu wa maadili katika utumishi wa umma yanashughulikiwa ipasavyo na hatua zinachukuliwa dhidi ya wahusika bila huruma wala upendeleo na wahusika wanawajibika vilivyo kwa makosa yao.

Nionavyo mie, katika uchaguzi ujao wa 2025, endapo atagombea Urais, basi ni dhahiri atashinda kirahisi sana na kwa kishindo kikubwa mno hapajawahi kutokea. Rekodi ya utendaji wenye weledi, tija na matokeo kwenye maisha ya waTz inambeba.

Atashindana na nani sasa kwa mfano humu nchini? Kwa kweli hakuna, ila bila shaka kutakua na wasindikizaji.

Mungu Ibariki Tanzania.
Unamdanganya kabisa , hapendwi mno,narudia wewe unayetajwa hapa hupendwi mno. Mpuuze kabisa huyu Jamaa aliyeandika hapa kwa maslahi yake
 
Back
Top Bottom